Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Haifai kuinua mabega, acha Mungu aamue kukuinua na sio kujiinua mwenyeweMungu hapendi na watakuambia atakushusha kama unajiinua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haifai kuinua mabega, acha Mungu aamue kukuinua na sio kujiinua mwenyeweMungu hapendi na watakuambia atakushusha kama unajiinua
Guigley Mungu anakuonaaa, si kwa kushadidia uko. Mwisho watu utawapganisha naona umesubscribe uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unashangaa nini! Hawa ndio wale nyie wachaga mnawaita waswahili, wakipata wanainua pua utadhani mbwa dume kanusa kule[emoji23] wachaga na mafanikio yoote huwezi kusikia kauli ya dharau kama ile
Inaonekana tangu JF imeanzishwa neno langu ndio limekera wengi hasa wewe kiasi cha kutaka M/Mungu anishushe ila M/Mungu huyo huyo anakataza juu ya kulaani wengine,wewe ni nani mpaka unilaani?inamaana wewe ni mwema Sana'a kuliko Wema wote Duniani!! Inashangaza sana etiMungu hapendi na watakuambia atakushusha kama unajiinua
amina .Haifai kuinua mabega, acha Mungu aamue kukuinua na sio kujiinua mwenyewe
duh!Inaonekana tangu JF imeanzishwa neno langu ndio limekera wengi hasa wewe kiasi cha kutaka M/Mungu anishushe ila M/Mungu huyo huyo anakataza juu ya kulaani wengine,wewe ni nani mpaka unilaani?inamaana wewe ni mwema Sana'a kuliko Wema wote Duniani!! Inashangaza sana eti
Neno kama ulimi wa mbwa kwenye magodoro limetumika sana kuashiria godoro jembamba, je mtunzi wake alilaaniwa na laana inakampata? Sasa kama huna uhakika usipoteze muda wako kunilaani maana ujinga (u masikini) hautokutoka kwa kumchukia mwenye akili (aliyejaaliwa)
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Guigley Mungu anakuonaaa, si kwa kushadidia uko. Mwisho watu utawapganisha naona umesubscribe uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mamii[emoji15] [emoji15] [emoji15] dawa ya kosa ni kuomba msamaha, wewe u mtu mzuri japo hujagundua umeteleza wapi.Inaonekana tangu JF imeanzishwa neno langu ndio limekera wengi hasa wewe kiasi cha kutaka M/Mungu anishushe ila M/Mungu huyo huyo anakataza juu ya kulaani wengine,wewe ni nani mpaka unilaani?inamaana wewe ni mwema Sana'a kuliko Wema wote Duniani!! Inashangaza sana eti
Neno kama ulimi wa mbwa kwenye magodoro limetumika sana kuashiria godoro jembamba, je mtunzi wake alilaaniwa na laana inakampata? Sasa kama huna uhakika usipoteze muda wako kunilaani maana ujinga (u masikini) hautokutoka kwa kumchukia mwenye akili (aliyejaaliwa)
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ok you win Guys, am sorry for all the dishes were hurt by my words .....am real sorryMamii[emoji15] [emoji15] [emoji15] dawa ya kosa ni kuomba msamaha, wewe u mtu mzuri japo hujagundua umeteleza wapi.
Nakushauri usiendelee kulipamba kosa, watu wote waliokukosoa ni wajinga?
Nikushauri jambo.
Ni kweli hukukosea ulisema kweli lakini si kila mara kweli yote husemwa hadharani
Hahahaha dah yaani hapa nilipo nacheka tu kwa kweli maana mnavyojibizana ni shiiiiiiiiiidaGodoro halina haraka.. burudani kwanza..
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Ok you win Guys, am sorry for all the dishes were hurt by my words .....am real sorry
[emoji2] [emoji2] [emoji120] sisi ni marafiki tayari, nnachoshukuru hakasirikiHahahaha dah yaani hapa nilipo nacheka tu kwa kweli maana mnavyojibizana ni shiiiiiiiiiida
Halafu kwa badae wewe black chinese na LadyAJ utakuja kuwa marafiki mliotukuka maana majibizano yenu hayaudhi wala kuwakasirisha.
Dear huoni kuomba radhi kwako kunaweza kunipotezea thread yangu?!..Ok you win Guys, am sorry for all the dishes were hurt by my words .....am real sorry
Wow!![emoji2] [emoji2] [emoji120] sisi ni marafiki tayari, nnachoshukuru hakasiriki
Yameisha jmn tuendelee na mengineOk you win Guys, am sorry for all the dishes were hurt by my words .....am real sorry
Hahahaha dah yaani hapa nilipo nacheka tu kwa kweli maana mnavyojibizana ni shiiiiiiiiiida
Halafu kwa badae wewe black chinese na LadyAJ utakuja kuwa marafiki mliotukuka maana majibizano yenu hayaudhi wala kuwakasirisha.
Yameisha wakuu kaomba radhi, wote huwa tunakoseaGuigley Mungu anakuonaaa, si kwa kushadidia uko. Mwisho watu utawapganisha naona umesubscribe uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mungu hapendi na watakuambia atakushusha kama unajiinua
SawaYameisha jmn tuendelee na mengine
Yameisha wakuu kaomba radhi, wote huwa tunakosea
black chineseDear huoni kuomba radhi kwako kunaweza kunipotezea thread yangu?!..
Usiombe radhi ki-rahisi hivyo ili kumfurahisha fulani, kama sio utamaduni wako..
Black chinise kweli anajitahidi kuwa mwelewa, mtakuwa kama Niffah na the bold, waliwahi kutofautiana sana, lkn wote tu mashahidi ni marafiki wa mfano[emoji2] [emoji2] [emoji120] sisi ni marafiki tayari, nnachoshukuru hakasiriki