ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Mungu akubarik sanseriously nakutumia kaka!! uwe unadanganya ama kweli nakutumia mpunga huo! tegemea ingizo la airtel money wakati wowote...haya maisha tu bro ili mradi urudi kijijini vema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akubarik sanseriously nakutumia kaka!! uwe unadanganya ama kweli nakutumia mpunga huo! tegemea ingizo la airtel money wakati wowote...haya maisha tu bro ili mradi urudi kijijini vema.
Nitafute weekend nikupe kazi upate ela, hakuna pesa ya bure bure wakati Mimi nahangaika na mabanda ya kukuladyAJ mi naomba unisaidie elfu 50, serious mkuu Nina shida. nataka nikamkatie mtoto Toto afya kadi nae apate huduma za afya bora kwa wakati.
Tumeumia pamoja bro,kuna watu wandharau sanaLugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Nimekupenda bureeeeHuna lolote mjusiii tu wewe
Pole sanaTumeumia pamoja bro,kuna watu wandharau sana
Maneno yake tu unaweza ona yeye analia godoro la shemeji yakeLugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Kukaa kwa shemeji yako unajishaua hapaHivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
AminaHakika una busara nimependa ustaarabu wako
poa mkuu.Nitafute weekend nikupe kazi upate ela, hakuna pesa ya bure bure wakati Mimi nahangaika na mabanda ya kuku
Fanya kazi upate pesa
Kama unaona nafaidi njoo na wewe ukae mwayaKukaa kwa shemeji yako unajishaua hapa
Kila anayenipigia simu anakuja na ofa ya 50.. nimezikataa mpaka mwisho nikajikuta nimekubali.... lakini baada ya kuona 50 ni mtelemko sana, nikaamua kuzinunua mwenyewe.. so biashara nishaifunga, ila tunaweza kuendelea na burudani tu.We mchina mweusi umeshauza?
Ahhhhh,[emoji23][emoji23],..naona umeona isiwe tabu sasa,..hahaha..itabid niwatoe lunch we na ladyAj,..ila mwisho bia tano tano...Kila anayenipigia simu anakuja na ofa ya 50.. nimezikataa mpaka mwisho nikajikuta nimekubali.... lakini baada ya kuona 50 ni mtelemko sana, nikaamua kuzinunua mwenyewe.. so biashara nishaifunga, ila tunaweza kuendelea na burudani tu.
Tunasubili mrejesho wa kutoka kwa jamaa kama alituma na salio likasoma, maana alisema leo leo, na leo ni siku ya pili tayari sijaona mrejeshoNaahidi kurudisha mrejesho soon baada ya simu kusoma salio..
Watu wa hivyo walikuwepo katika awamu ile iliyopita... sio hii ya Magu.Tunasubili mrejesho wa kutoka kwa jamaa kama alituma na salio likasoma, maana alisema leo leo, na leo ni siku ya pili tayari sijaona mrejesho
Astaghafillah mlaani shetan kaka yangu Mimi hayo mvitu yenu huwa situmii kabisaAhhhhh,[emoji23][emoji23],..naona umeona isiwe tabu sasa,..hahaha..itabid niwatoe lunch we na ladyAj,..ila mwisho bia tano tano...
IPO Sikh litakupata tu [emoji49]Dua la kuku