Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
Haya bhanaaaTeh teh macho yangu ni ya rohoni nimeamua ibaki tu hivyo ..tumia X ray kuona macho ya rohoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bhanaaaTeh teh macho yangu ni ya rohoni nimeamua ibaki tu hivyo ..tumia X ray kuona macho ya rohoni
Kweli kabisa. Nasikia wakorea hulalia ubao, hamna godoro. Wanyaki, mniwie radhi mliomo humu, enzi zao walilalia mikeka, tena iliyosukwa kwa majani ya migomba, kwenye vitanda vya malimba!Mamii ni NO kwako, ila kuna wanaotamani za hivyo na hawanazo, mshukuru Mungu kwa kuwa na uwezo wa kulalia zenye hadhi zaidi ya hiyo. Kuna watu wana shida we acha tu.
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Yaani huu ushauri wako ulikua fresh sana na angeweza kupiga bingo hiyo au zaidi mpaka 170K kwa mafundi sofa, ila kiukweli angeyaboresha hata kuyawekea cover kama anataka kumuuzia mtu. tatizo ukiwaambia wabongo ukweli wanapaniki..ona sasa hata tukimuuliza yeye alikua analalia magodoro mawili ya nini so kama alikuwa mtumishi feki kifisadi?Mbona mengi tu tunayafanya hayampendezj Mungu !! Ikiwamo kusema kinyume cha kile moyo wako waamini na bahati nzuri nimempa ushauri awapitishie mafundi sofa,sasa sijui wewe ulitaka nimwambieje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Si bure unafugwa kwa shemej yako.hata bei ya godoro hujui
[emoji87] kwa maneno hayo hata mungu hapendiMimba ni mimba tu hata kama imetungiwa mtini, na aliyenipa Mimi alinipa kwa sababu ya juhudi na si kujilegeza na kudhani kua nimeumbwa kua masikini No
Tatizo umekariri, sio kila mtanzania mama yake anaishi kijijiniDah, watu mna dharau? sie ndio twalalia hayo ndugu yangu, sasa sijui sie MBWA? hata kule kijijini kwenu Kolomije Mama yako ndo analalia, sasa sijui umemuhusisha na yeye na hilo jina?
Dua la kuku[emoji87] kwa maneno hayo hata mungu hapendi
Huna muda atachkua alichokupa tuuuu ww
Kaka we una akili kuliko rais wako.. fanya mpango basi wa kupitisha bakuli niondoke mjini.Jamaa umenifanya nisijisikie huruma pia nicheke sana nikisoma uzi wako. Unajua ni kwa nini? yaani wewe Necta wapoteze kumbukumbu zako kweli na wewe ukubali kirahisi rahisi kurudi kijijini kweli? kwa nini usiwaamshie timbwili timbwili?! WE JAMAA ACHA KUTUONA MASORO AISEE SEMA TU UMESTUKIWA MAMBO YAMEHARIBIKA NA UNAUZA GODORO! WENGINE HAPA TUNAWEZA KUKUSAIDIA HATA BILA YA KUNUNUA GODORO UPATE NAULI USEPE KIJIJINI KWENU!! BLAH BLAH ZA NINI BRO?
seriously nakutumia kaka!! uwe unadanganya ama kweli nakutumia mpunga huo! tegemea ingizo la airtel money wakati wowote...haya maisha tu bro ili mradi urudi kijijini vema.Kaka we una akili kuliko rais wako.. fanya mpango basi wa kupitisha bakuli niondoke mjini.
0687 089980....
Namba ya airtel money hiyo..
Naahidi kurudisha mrejesho soon baada ya simu kusoma salio..seriously nakutumia kaka!! uwe unadanganya ama kweli nakutumia mpunga huo! tegemea ingizo la airtel money wakati wowote...haya maisha tu bro ili mradi urudi kijijini vema.
dah, was it necessary to say that!?Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Very good!Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Jamaa anauza magodoro mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]wenye hizo nguo wako wapi? wanafanya nini na nani? kwann wafanye hicho wanachokifanya wakiwa wametoa nguo?
Dduh. Mie siwezi kuwa na kibri bhana. Nimelala hadi kwenye mkeka mie.Angel tunapowaoa na kujaribu kuwaweka sawa na kuwanunulia vigari vya watoto mnaridhika haraka sana na mnaanza kuita magodoro ya wenzenu ni matindiko ya mbwa!!!
Mungu anawaona i see
Nakukubali sana na u mnyenyekevu sanaDduh. Mie siwezi kuwa na kibri bhana. Nimelala hadi kwenye mkeka mie.
Na mpk leo nasaka mbahindu mwenyewe so najua ugumu na utamu wa kutafuta.