Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka niuze katika uhalisia wake.. atakayenunua ndo atafikiria kufanya hivyo... infact sio lazima sana yanunuliwe..Mkuu fanya kitu kimoja, yatafutie cover za bei rahisi, halafu njoo uyatangaze humu kwa ID nyingine na bei ile ile au ya zaidi.
Utashangaa yatakavyouzika haraka.
Usiuze gari ikiwa na pancha, ziba kwanza halafu ndo utangaze kuuza.
Haya Wahehe, kazi kwenu.. ulimi wa mbwa unauzwa kwa bei ya kutupa...Ilo co godoro bali ni ulimi wa mbwa.,godoro gan jepesi ivo kama tandiko
Hahaa nisamehe.Wewe the Bleiz acha kutudharau bhanaa sisi mshausigeli tumekosa nn hapoo[emoji4] [emoji4]
relax mkuu......nikwamba ile comment yako imenchekesha ndo maanaHivi kuna mahali nimeandika nataka kuuza haraka enhee!..
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ameniua alivosema amna haraka ya kuuza godoro tena ni burudani kwanza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna comment imenisikitisha sana ila sasa huu uzi umenifanya nicheke kwa sauti sio kwa mtanange unaoendelea humu
muuza godoro pia mwishoni kaamua kubadilika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf raha sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ameniua alivosema amna haraka ya kuuza godoro tena ni burudani kwanza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..Nilikuwa naupita uzi huu, ila baada ya kuona umeendelea kuwika nimeingia.
Uliyetangaza kweli kabisa na manguo sakafuni hivyo, na jinsi ulivyoziweka unaona umefanya tangazo zuri. Ungepaweka vizuri, hayo magodoro nayo yatakuwa katika khali gani jamani...duh
Mjifunze kujua kuvutia wateja.
Atanunua mwenye shida haswaaaaaa ambayo hajali uchafu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] atakayenunua hizi godoro ajiandae kusimangwa na muuzaji,si kwa mashushu haya baba mwenye godoroTangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
ahahaha aiseeHaya Wahehe, kazi kwenu.. ulimi wa mbwa unauzwa kwa bei ya kutupa...
Nitauza baadae... kwa sasa tuendelee na burudani kwanza..ahahaha aisee
mkuu upo serious kweli na kuuza magodoro au unatania
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bana naona leo umeamua kutuvunja mbavuTangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
Tangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu uzi kibok wallahHaya Wahehe, kazi kwenu.. ulimi wa mbwa unauzwa kwa bei ya kutupa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nitauza baadae... kwa sasa tuendelee na burudani kwanza..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niache kupita kwenye huu uzi kwa mda.....nitaonekana chizi bureNitauza baadae... kwa sasa tuendelee na burudani kwanza..