INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Usijali ndugu..ni kipaji pekee nilichopewa na Mungu.
34b5d0c0185ce6ad45a051a0a7242522.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niache kupita kwenye huu uzi kwa mda.....nitaonekana chizi bure
Utaonekana chizi kwa nini ?
 
we dada weee, tema mate chini. wako watu hata hilo godoro unalosema ni la mbwa wanalitamani hawalipati. Mungu yupo ujue.
Ni kweli kabisaaa usemayo. Kuna mama i was talking to akawa ananielezea kuwa yeye na familia yake yote wanalala chini hata godoro hakuna, kwahiyo unapojiuliza cha nini mwenzio anajiuliza atakipata lini? Tujifunze kuwa na shukrani.
 
Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
Mamii ni NO kwako, ila kuna wanaotamani za hivyo na hawanazo, mshukuru Mungu kwa kuwa na uwezo wa kulalia zenye hadhi zaidi ya hiyo. Kuna watu wana shida we acha tu.
 
Back
Top Bottom