Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Black chinese una majibu kama prof kabudi..unamfanya aliekudharau ajione yeye ni mjinga mara 800,..Tangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Black chinese una majibu kama prof kabudi..unamfanya aliekudharau ajione yeye ni mjinga mara 800,..Tangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
Usijali ndugu..ni kipaji pekee nilichopewa na Mungu.Black chinese una majibu kama prof kabudi..unamfanya aliekudharau ajione yeye ni mjinga mara 800,..
Huyu jamaa ana akili nyingi, huenda hata hauzi godoroBlack chinese una majibu kama prof kabudi..unamfanya aliekudharau ajione yeye ni mjinga mara 800,..
Jf buana, ndio maana naipenda sana, huwezi kuwa na stress ukiingia huku ni full burudaniHaya Wahehe, kazi kwenu.. ulimi wa mbwa unauzwa kwa bei ya kutupa...
Tangazo nililoweka ni la magodoro... wewe uliyeona nguo utakuwa unasumbuliwa na umbea..
Usijali ndugu..ni kipaji pekee nilichopewa na Mungu.
We jmaaa ni comedian??
Utaonekana chizi kwa nini ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niache kupita kwenye huu uzi kwa mda.....nitaonekana chizi bure
nimesema chizi...sio chiniUtaonekana chini kwa nini ?
ahahahaha hata mimi nimewaza hivoWe jmaaa ni comedian??
Majibu ya black chinise ni full burudani,ahahahaha hata mimi nimewaza hivo
kama mimi kajua kunichekesha kiukweliMajibu ya black chinise ni full burudani,
Watu wanajaribu kumtolea maneno mabaya lakini majibu yake yanawavua nguo sana
Mie mwenyewe nimemshangaa haswa.Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Angel tunapowaoa na kujaribu kuwaweka sawa na kuwanunulia vigari vya watoto mnaridhika haraka sana na mnaanza kuita magodoro ya wenzenu ni matindiko ya mbwa!!!Mie mwenyewe nimemshangaa haswa.
Watu wengine hawafikiri kabla kuongea.
Hiyo avatar bado hubadilishi tu
Ni kweli kabisaaa usemayo. Kuna mama i was talking to akawa ananielezea kuwa yeye na familia yake yote wanalala chini hata godoro hakuna, kwahiyo unapojiuliza cha nini mwenzio anajiuliza atakipata lini? Tujifunze kuwa na shukrani.we dada weee, tema mate chini. wako watu hata hilo godoro unalosema ni la mbwa wanalitamani hawalipati. Mungu yupo ujue.
Mamii ni NO kwako, ila kuna wanaotamani za hivyo na hawanazo, mshukuru Mungu kwa kuwa na uwezo wa kulalia zenye hadhi zaidi ya hiyo. Kuna watu wana shida we acha tu.Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No