INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Acha dharau wee kima.
Halafu watu wenye uwezo huwa hawana mashauzi ya kishamba.
Wee kama sio hausigeli sijui.
Wewe the Bleiz acha kutudharau bhanaa sisi mshausigeli tumekosa nn hapoo[emoji4] [emoji4]
 
Wewe ni MPUMBAVU.

Ndio maana umekubali kuolewa na mwanamme mwenye mtoto na mwanamke mwingine wakati huyo mtoto humpendi, tena huishi nae. Ungeishi nae huyo mtoto ungemuua wewe.Yani mama mkwe kumuongelea mjukuu wake ilikua inakukera hivyo.

Na ushukuru huyo mwanamme kakuoa kakusitiri ungekua hujaolewa wewe.

Narudia tena wewe ni MPUMBAVU.
Hahahaaaaa yeuwiiiio mbavu zanguu
 
Na yeye alikuwa anapendaga kujiita lady hivyo hivyo ingawa alikuwa na nyonga ya kiume..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yekuuuukuuu Leo nitakufaa daaa kidogo na machungu yanapungua

Ya wadogo zetuu
 
Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Nami sijapenda, hakuna mtanzania mwenye jeuri hii[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kama umefanikiwa nduguzo bado hohehahe na huna jeuri ya majibu haya...
Acha mamamkwe aendelee kukutesa
Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
 
Sijasema magodoro ni ya mdogo wangu... ni yangu ila yalikuwa yanatumiwa na mdogo wangu.
Binafsi bado sijaona ubaya wa magodoro hayo ndo maana nimethubutu kuyanadi hadharani.
Nauza magodoro, kitanda, meza ya kioo na majaba ya maji ili nirudishe chumba kimoja nibaki na viwili kwa vile sasa naishi peke yangu hivyo sihitaji kuzungukwa na vitu vingi.. jiko la gesi na mtungi mkubwa nilishauza wiki mbili zilizopita.. hivyo dadangu lady Aj nisamehe kama nimekuchefua..ila naomba unitumie namba yako ya simu ili siku nyingine kabla sijaweka tangazo la biashara jf.. nikupigie tu-discuss kwanza ili nisikuchefue tena.

Mkuu fanya kitu kimoja, yatafutie cover za bei rahisi, halafu njoo uyatangaze humu kwa ID nyingine na bei ile ile au ya zaidi.

Utashangaa yatakavyouzika haraka.

Usiuze gari ikiwa na pancha, ziba kwanza halafu ndo utangaze kuuza.
 
Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.

Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Taabu kweli kweli, tunaponzwa na miili
 
Back
Top Bottom