Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
- Kocha hajafukuzwa
- Benchi la Ufundi halijaguswa
- Wachezaji hawajachunguzwa au kuwajibishwa
- Viongozi hawajafukuzwa wala kuhojiwa
Simba kuweni serious. Hii ni Klabu Bingwa Barani Afrika. Mnatuwakilisha Tanzania. Mkiaibishwa tunaaibishwa sote. Mkifanikiwa na kupata sifa tunapata sifa sote.
Simba haiwezi kubaki kama ilivyo sasa!