Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Wazee wa kumi bila.Acha kuwachochea wazee wa khamsa khamsa
Kufukuza ni muhimu Mkuu Jana wachezaji 9 kati ya 11 walionza ni proffesion players tumewatoa nje kwa ajili ya mashindano kama haya ya caf afu mechi mbili 2 magoli km yote kuna haja ya kuwapiga chini hawa wachezaji aisee!!!! Na pia mooo kazungukwa na mapiga pesa tu sidhan km tutaboa kwa simba hiiSidhani kama sulubisho ni kufukuza kocha au kupangua benchi la ufundi (unless sababu za vipigo hivyo ni hao watu na ni za makusudi)
Kila team huwa inafungwa, cha muhimu ni kujitathmini ni wapi hapakuwa sawa ili kujirekebisha next time out.
Ukisema kufukuza fukuza zingatia mikataba n.k inaweza kuiweka club katika hali ambayo sio nzuri (financially)
Kweli kabisa mkuu wanaenda okota okata magarasa uko et proffesion players!!!! Uza na nunua kikos kizima cha as vitalMpira na Siasa ni vitu ambavyo ukivishabikia, hautaishiwa fedheha. Hasa hizi nci zetu na mpira wa Tanzania. Hata timu ikishinda, ni kama kubahatisha tu.
Kweli mkuu. Tp mazembe wangesubiri na karekodi kao ka kumchapa mtu 8 bila.Wazee wa kumi bila.
Na jana tushukuru al ahly walitoa mguu kwenye accelerator kipindi cha pili.
Mkuu mpira umeanza lini kuujua? Samahani kwa swali hilo ila sina nia ya kukudharau ila nashangaa kuona kuwa Simba kufungwa goli 10 ndani ya dakika 180 ni jambo la ajabu hasa ukizingati aina za team tulizocheza nazo.Kufukuza ni muhimu Mkuu Jana wachezaji 9 kati ya 11 walionza ni proffesion players tumewatoa nje kwa ajili ya mashindano kama haya ya caf afu mechi mbili 2 magoli km yote kuna haja ya kuwapiga chini hawa wachezaji aisee!!!! Na pia mooo kazungukwa na mapiga pesa tu sidhan km tutaboa kwa simba hii
Ukisasa upi Mkuu kama matokeo hatuyapati!!!!msituharibie Timu yetu.
simba siku hizi inaendeshwa kisomi.
sio kama yanga ya mzee akili mali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ingekuwa haiendeshwi kisomi sijui jana ingelikuwaje kwa vijana wa Farao.msituharibie Timu yetu.
simba siku hizi inaendeshwa kisomi.
sio kama yanga ya mzee akili mali
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mas
Ukisasa upi Mkuu kama matokeo hatuyapati!!!!
Hivi ingekuwa haiendeshwi kisomi sijui jana ingelikuwaje kwa vijana wa Farao.
Khamsa chini ya uongozi wa kisomi!!!