samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Yanaitwa makombora ya mita 30 hivi na ya impossible angle,sio ya kuvizia gongagonga nini sijui,huenda yakapelekwa FIFA kujadiliwa goli bora la mwaka.Mwadui watasimulia nyieee hamjui tu.mwisho 3-1,picha naleta