Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mimi kitambo tu niliahidi kuchangia mifuko 20!Nachangia mifuko kumi ya cement Rage ajengewe sanamu
Naunga mkono, Rage ajengewe sanamuNachangia mifuko kumi ya cement Rage ajengewe sanamu
who is this rageNaunga mkono, Rage ajengewe sanamu
Watu kama nyinyi akili huwa mnaziweka wapi hadi inakuwa ngumu kuzitumia?Jana Azam alikuwa ashinde zaidi ya mabao 5, mchezo wa leo pale chamazi ambao wa Djibout wamekufa 5 1 ndio ulikuwa mchezo wa jana ambao Azam wangeshinda, na mchezo wa jana ulikuwa wa leo, Azam haya ninayowaeleza nipuuzeni tu lakini uwanja wa Chamazi ushakuwa wa utopolo.
Baby wa utopwinyo huyowho is this rage