Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jana Azam alikuwa ashinde zaidi ya mabao 5, mchezo wa leo pale chamazi ambao wa Djibout wamekufa 5 1 ndio ulikuwa mchezo wa jana ambao Azam wangeshinda, na mchezo wa jana ulikuwa wa leo, Azam haya ninayowaeleza nipuuzeni tu lakini uwanja wa Chamazi ushakuwa wa utopolo.