ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Mfungaji Bora wa Ligi ya TAnzania ni fiston mayele, akimpiku Mzee saido aka mstaafu aka mzee wa magoli ya viti maalumu yaani penalty.
Makolo kilio kimezidi
Makolo kilio kimezidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia matahira ni wengi hii nchi mpaka kwenye michezo.Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
[emoji23] nimecheka kisenge.Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
Ukilambishwa Asali hutoongea tena mkuu!Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
yapSio kweli, wote watapewa kila mmoja kiatu chake.
Na kuwapa ubwabwa ikuluHivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
Chomoa hilo hogo litakua😀Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
[emoji23][emoji23] lakini kanuni zimetungwa kabla ya msimu huu. Nani alijua mayele na saidoo watafungana magoli?Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
Ivyo viatu viko vingapi kwani mpaka wapewe wote?Sio kweli, wote watapewa kila mmoja kiatu chake.
Viwili , cha mguu wa kushoto na mguu wa kulia.Ivyo viatu viko vingapi kwani mpaka wapewe wote?
Ndio uhalisia,nchi ina wajinga wengi sana hii.[emoji23] nimecheka kisenge.