Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
cc. Bodi ya ligi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo unawasaidia niniMfungaji Bora wa Ligi ya TAnzania ni fiston mayele, akimpiku Mzee saido aka mstaafu aka mzee wa magoli ya viti maalumu yaani penalty.
Makolo kilio kimezidi
Aishakumu si matusi bora tujifariji huku ya bandari yanaumizaViwili , cha mguu wa kushoto na mguu wa kulia.
Ni Tanzania TuuUongo unawasaidia niniView attachment 2651447
Mbina unakurupuka bila ua kuwa na dataMfungaji Bora wa Ligi ya TAnzania ni fiston mayele, akimpiku Mzee saido aka mstaafu aka mzee wa magoli ya viti maalumu yaani penalty.
Makolo kilio kimezidi
ni kama vile wewe umesoma arafu mshamba tu anapiga manzi yakoYani ni aibu striker anayeimbwa kila kukichwa kuzidiwa kiatu na midfielder....aibu sana
Btw Ishu ya bandari imefikia wapi?
Huwa inauma sana.ni kama vile wewe umesoma arafu mshamba tu anapiga manzi yako
AahaaaaaaHivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
AahaaaaaaViwili , cha mguu wa kushoto na mguu wa kulia.
Huko makoloYani ni aibu striker anayeimbwa kila kukichwa kuzidiwa kiatu na midfielder....aibu sana
Btw Ishu ya bandari imefikia wapi?
Ni bora ukae kimya ili ufiche ujinga wako.Yani ni aibu striker anayeimbwa kila kukichwa kuzidiwa kiatu na midfielder....aibu sana
Btw Ishu ya bandari imefikia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
Hao wote wapo top10 ya wafungaji bora.Huko makolo
John boko
Phri
Baleke
Siku hizi wamekuwa mabeki au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23]
Makolo mmenuna
Mtafuteni George Mpole huko
Soma kwa kuelewa. View attachment 2651769Mfungaji Bora wa Ligi ya TAnzania ni fiston mayele, akimpiku Mzee saido aka mstaafu aka mzee wa magoli ya viti maalumu yaani penalty.
Makolo kilio kimezidi
Kwani Mayele hana magoli ya penati?Mfungaji Bora wa Ligi ya TAnzania ni fiston mayele, akimpiku Mzee saido aka mstaafu aka mzee wa magoli ya viti maalumu yaani penalty.
Makolo kilio kimezidi
Hivi ndiyo vigezo anavyotumia Samia kuuza bandari. Wajinga ni wengi
SOMA zaidiSoma kwa kuelewa. View attachment 2651769View attachment 2651770