bene michael
Senior Member
- Mar 1, 2017
- 130
- 98
Steven Nemensi wa simba
Ofen Martin ''Chusa'' Ushirika enzi hizo
Peter Manyika wa Yanga
kwani hawa walikuwa magolikipahamis gagalino
edibili lunyamila
mrisho ngasa
Aliajiriwa polisi na baadaye akaishia pabaya.Marius - Ujenzi Rukwa
Athumani MsumaliAthumani Msomali- Reli Kiboko ya vigogo morogoro
Joseph Katuba- Yanga, Simba
Rifat Saidi- Yanga
Mkuu wewe ndiye mwenyewe Nteze John?Marehemu Joseph Justin Katuba kwangu mimi alikua ni kipa bora sana
Ila ubora wake ulifichwa na Mwameja Mohamed Mwameja Tanzania One
RIP nyanda la boliDoyi Moki