makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Steven Nemensi wa simba
Ofen Martin ''Chusa'' Ushirika enzi hizo
Peter Manyika wa Yanga
Nemes wa yanga.... Simba alipita tu kuganga njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Steven Nemensi wa simba
Ofen Martin ''Chusa'' Ushirika enzi hizo
Peter Manyika wa Yanga
We utakuwa umezaliwa juzijuzi sana mbona hawa wa miaka ya 90 na
hamis gagalino
edibili lunyamila
mrisho ngasa
mdau kuna uhusiano wa huyu kipa na midfielder Madata Lubigisa wa 82 rangers..
mtani unanichekesha sana ha ha ha ha: Lakini nakubari kitu kimoja sidhani kama yanga mpaka sasa WAMEMPATA kipa mzuri kama hamisi kinye. yule kipa nilimkubali. NAKUMBUKA TAIFA STARS ILIPOPAMBANA NA HARAMBEE STARS PALE KENYA KWENYE MWAKA 1980-82 HIVI ALIKUWA GUMZO. ILA ALITOLEWA KIPINDI CHA PILI BAADA YA KUKUTANA NA FORWARD HATARI WA HARAMBEE JJ MASIGA WOTE WALIUMIA NA KUTOLEWA NJE. Nakumbuka mtangazaji hamed jongo wa rtd kipindi kile alikuwa anamsifu kwa kuruka kama nyani. Hao uliwaweka hapo hakuna hata mmoja aliyemfikia.
Hahaaaa chachala muyaaaaaa ....alikuwa balaaaaa
nilitaka nimtaje Katuba aliidakia yanga lkn ukipa wake umeisha akiwa na umri mdogo baada ya kupata ajali na Basi la hood eneo la madaba wakiwa wanaelekea songea kuikabili majimaji 1999Athumani Msomali- Reli Kiboko ya vigogo morogoro
Joseph Katuba- Yanga, Simba
Rifat Saidi- Yanga
isihaka majaliwa-majimaji
khamis makene-coastal union
moses mashoto-mecco
moris nyunyusa-nyota nyekundu
Chacha la muya madusi madusiFitna na majungu ya FAT enzi hizo chini ya Ukatibu Mkuu wa Ismail Aden Rage zilimkimbiza jamaa Bongo akaenda zake kuchukua Uraia wa Rwanda na kudakia Amavubi chini ya kocha Raul Shungu.