Magoma kayakanyaga kwa kuchokonoa timu inayoshinda makombe

Magoma kayakanyaga kwa kuchokonoa timu inayoshinda makombe

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
 
Wazo langu hata kama imeamualiwa na mahakama Eng Hersi akae pembeni basi ufanyike uchaguzi haraka kwa mujibu wa katiba ya hao wazee wanavyotaka na uchaguzi usimamiwe na hiyo mahakama na tutamsimika tena Eng Hersi kuwa mtendaji Mkuu wa Yanga na vipigo vitaendelea na msimu huu tuipige Simba wiki (7-0) ili akili iwarudie.

Otherwise katiba mpya inayomhalalisha Eng Hersi isainiwe haraka na kuidhinishwa na wanachama kwenye mkutano Mkuu wa dharura.

Hatutaki hata one day Eng Hersi kuondoka Yanga maana hakuna raha kubwa kama kuona makolo wakilia lia baada ya Kipigo na yeye ndie mastermind behind the wheel!

Hii nchi yetu ngumu sana yaani Yanga kutoa vipigo miaka mitatu imewauma sana makolo wanataka ufalme wa soka uwe wao tu japo hilo limeenda na bado mpaka waseme, tabu iko pale pale!

Nb: tukumbushane kuwa Kenya walifungiwa kushiriki mashindano makubwa na FIFA kwa sirikali kuingilia masuala ya michezo, yakitufika nasisi tusilaumu.
 
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
Lakini mbona hamjibu hoja zake?? Badala yake mnamshambulia tu,
 
Wazo langu hata kama imeamualiwa na mahakama Eng Hersi akae pembeni basi ufanyike uchaguzi haraka kwa mujibu wa katiba ya hao wazee wanavyotaka na uchaguzi usimamiwe na hiyo mahakama na tutamsimika tena Eng Hersi kuwa mtendaji Mkuu wa Yanga na vipigo vitaendelea na msimu huu tuipige Simba wiki (7-0) ili akili iwarudie.

Otherwise katiba mpya inayomhalalisha Eng Hersi isainiwe haraka na kuidhinishwa na wanachama kwenye mkutano Mkuu wa dharura.

Hatutaki hata one day Eng Hersi kuondoka Yanga maana hakuna raha kubwa kama kuona makolo wakilia lia baada ya Kipigo na yeye ndie mastermind behind the wheel!

Hii nchi yetu ngumu sana yaani Yanga kutoa vipigo miaka mitatu imewauma sana makolo wanataka ufalme wa soka uwe wao tu japo hilo limeenda na bado mpaka waseme, tabu iko pale pale!

Nb: tukumbushane kuwa Kenya walifungiwa kushiriki mashindano makubwa na FIFA kwa sirikali kuingilia masuala ya michezo, yakitufika nasisi tusilaumu.
Kama BMT Na TFF wenye mpira wao hawakuona tatizo waliobaki ni makolo driven efforts. Hakuna cha uchaguzi tens hapo. Walofungua kesi ni batili
 
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
Mwambie Engineer wako na nyie vibaraka wake mjibu hoja zake na sio Viroja.

Kama huyo unaemsema yupo smart, alishindwa kufahamu huo ufa uliopo katika Katiba?!

Kufanya vizuri ni jambo moja, na yes, amejitahidi kwa hilo ila kufuata taratibu za uendsshaji mpira ni kitu kingine.
 
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
Magoma waliokutuma wamechelewa sana, uwezi kusema katiba ya yanga ni batili wakati imepitishwa na vyombo vyote vinavyosimamia mpira wa Tanzania na duniani, Ninapata mashaka pia na hakimu aliyesikiliza kesi upande mmoja wakati washtakiwa wakiwa awajui kinachoendelea!
 
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
Katika Mazingira haya YANGA makombe yake mengi ni feki,
 
Mwambie Engineer wako na nyie vibaraka wake mjibu hoja zake na sio Viroja.

Kama huyo unaemsema yupo smart, alishindwa kufahamu huo ufa uliopo katika Katiba?!

Kufanya vizuri ni jambo moja, na yes, amejitahidi kwa hilo ila kufuata taratibu za uendsshaji mpira ni kitu kingine.
Simba waligundua kuwa mo hakuweka zile 20b baada ya simba kukosa makombe kwa miaka 3 mfululizo, kabla ya hapo wakati timu yao ikishinda, yeyote aliyekuwa anahoji 20b alionekana ni mchawi kama wachawi wengine tu. Yanga sasa hivi inashnda makombe hawataki kusikia kitu kingine chochote kutoka kwa yeyote, watamchinja!!, hata magoma alijiwa hilo, ndio maana alikaa kimya na hukumu yake tangu mwaka jana.

Mahakama zetu haziaminiki kabisa, ni nani amevujisha hukumu ya kesi ya akina magoma kwenda public? Hawawezi kuwatoa yanga kwenye reli yao ya sasa ya makombe.
 
Wazo langu hata kama imeamualiwa na mahakama Eng Hersi akae pembeni basi ufanyike uchaguzi haraka kwa mujibu wa katiba ya hao wazee wanavyotaka na uchaguzi usimamiwe na hiyo mahakama na tutamsimika tena Eng Hersi kuwa mtendaji Mkuu wa Yanga na vipigo vitaendelea na msimu huu tuipige Simba wiki (7-0) ili akili iwarudie.

Otherwise katiba mpya inayomhalalisha Eng Hersi isainiwe haraka na kuidhinishwa na wanachama kwenye mkutano Mkuu wa dharura.

Hatutaki hata one day Eng Hersi kuondoka Yanga maana hakuna raha kubwa kama kuona makolo wakilia lia baada ya Kipigo na yeye ndie mastermind behind the wheel!

Hii nchi yetu ngumu sana yaani Yanga kutoa vipigo miaka mitatu imewauma sana makolo wanataka ufalme wa soka uwe wao tu japo hilo limeenda na bado mpaka waseme, tabu iko pale pale!

Nb: tukumbushane kuwa Kenya walifungiwa kushiriki mashindano makubwa na FIFA kwa sirikali kuingilia masuala ya michezo, yakitufika nasisi tusilaumu.
Unaandika kwa kutumia katiba ya yanga ya mwaka upi??
 
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.

Yanga inashinda hivyo hakuna mtu wa Yanga utamwambia kitu kuhusu timu yao kwasasa. Amezidi kuongeza umoja na uimara ndani ya Yanga yenye makombe, Chama, Aziz ki, pacome, dube, aucho na diigui

Magoma amejizolea maadui wengi kwa wakati mmoja, hawezi kupona hata kama ajitetee vipi.
mpumbavu yule hata dawa ya meno inamshinda kununua ataweza kununua hata maji ya mazoezi kwa timu?
 
mpumbavu yule hata dawa ya meno inamshinda kununua ataweza kununua hata maji ya mazoezi kwa timu?
Lengo lake Hersi aende akampe hela wayamalize kiutu uzima, Hersi asifanye hivyo hata kidogo, boss wa Yanga ni wanachama wake kupitia mkutano mkuu, nothing less nothing more, mengine ni njaa TU.
 
Huu ni wakati sahihi kwa wanayanga wote kuungana kupinga kwa nguvu zote mamluki kina Magoma and company. Hii Yanga inawatesa sana makolo kila siku inapaa juu zaidi.
 
Mwambie Engineer wako na nyie vibaraka wake mjibu hoja zake na sio Viroja.

Kama huyo unaemsema yupo smart, alishindwa kufahamu huo ufa uliopo katika Katiba?!

Kufanya vizuri ni jambo moja, na yes, amejitahidi kwa hilo ila kufuata taratibu za uendsshaji mpira ni kitu kingine.
RITA ya juzi tu hiyo, Yanga ilikuwepo tangu 1935. Kama Wanachama akidi ikitimia na wakiamua kujenga bar badala ya uwanja hakuna mahakama inayoweza kuhoji kwanini mnajenga bar badala ya uwanja wa mpira. Kama katiba iliyoko iliiwezesha Yanga kushiri mashindano ya ngao ya jamii, ligi, FA, CAF federation, na caf champions bila shaka katiba hiyo ni halali TFF, BMT, CECAFA, CAF na FIFA. Anaetaka kuhoji uhalali wa katiba alitakiwa kwanza kuonana na TFF na BMT kabla ya kufanya lolote, nyashu hawa!!!

Nadhani Magoma, et al, alikosea timing au alikosa time ya kufyatua mtego wake ili kunasa. Nadhani alikuwa akisubiri Yanga iteleze kwenye ligi (hasa kufungwa na Simba) ili aunganishe hukumu yake feki kwenye lawama kwa viongozi. Bahati mbaya kwake Yanga inafanya vizuri kwa miaka 3 mfululizo ikiwemo kumfunga Simba, hivyo walikosa wakati muafaka wa kulipua bomu lao, shame.

Yanga sio ya wandengeleko na wazaramo kama ilivyoTANU/CCM ilianzishwa Dar es Salaam lakini sasa sio chama cha Dar es salaam. Akakojoe alale (yaani anataka kusema Dar es salaam ya sasa hivi ni ya wazaramo na wandengereko.
 
Wazo langu hata kama imeamualiwa na mahakama Eng Hersi akae pembeni basi ufanyike uchaguzi haraka kwa mujibu wa katiba ya hao wazee wanavyotaka na uchaguzi usimamiwe na hiyo mahakama na tutamsimika tena Eng Hersi kuwa mtendaji Mkuu wa Yanga na vipigo vitaendelea na msimu huu tuipige Simba wiki (7-0) ili akili iwarudie.

Otherwise katiba mpya inayomhalalisha Eng Hersi isainiwe haraka na kuidhinishwa na wanachama kwenye mkutano Mkuu wa dharura.

Hatutaki hata one day Eng Hersi kuondoka Yanga maana hakuna raha kubwa kama kuona makolo wakilia lia baada ya Kipigo na yeye ndie mastermind behind the wheel!

Hii nchi yetu ngumu sana yaani Yanga kutoa vipigo miaka mitatu imewauma sana makolo wanataka ufalme wa soka uwe wao tu japo hilo limeenda na bado mpaka waseme, tabu iko pale pale!

Nb: tukumbushane kuwa Kenya walifungiwa kushiriki mashindano makubwa na FIFA kwa sirikali kuingilia masuala ya michezo, yakitufika nasisi tusilaumu.
Magoma anatumia katiba ya 2010
 
Magoma anatumia katiba ya 2010
Katiba ya 2010 haipo, imezikwa na wanachama wenyewe majority na kuridhiwa na tff, serikali, caf na FIFA. Wengi wakiamua wachache wamo pia automatically(by default) ilimradi hakuna Sheria mama iliyovunjwa. Hiyo ndiyo demokrasia inavyotaka.
 
Back
Top Bottom