Magoma na wenzake watiwa Mbaroni kwa kughushi nyaraka za Yanga

Magoma na wenzake watiwa Mbaroni kwa kughushi nyaraka za Yanga

Mributz

Senior Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
177
Reaction score
527
Juma Ally Magoma na Geofrey Mwaipopo wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa lilofunguliwa na mwanasheria wa Klabu ya Yanga Simon Patrick ambapo walidaiwa kughushi saini za wadhamini wa Yanga.

Wakili upande wa Magoma na Mwaipopo, Jacob Masenene, amesema kosa walilokamatwa nalo linadhaminika na wao wamekamilisha taratibu zote za kupata dhamana.

Magoma na Mwaipopo wamekamatwa leo baada ya kutoka Mahakama Kuu, kusikiliza rufaa kesi yao dhidi ya bodi ya wadhamini wa Yanga, ambayo imeahirishwa hadi Agosti 21 2024 mbapo upande wa bodi ya wadhamini wa Yanga watakuwa wameshapata wito.

1000284840-1.jpg


Pia soma=> Magoma na YANGA ngoma bado ngumu
 
Wanasema huyu mzee Magoma Moto kaongeza idadi , sasa wenye akili wako watatu kwetu utopoloni!!
Hivi anachotafuta Magoma ni nini hasa? Kina nani wamemtuma? Si aanzishe timu yake tu shida ni nini?
 
Juma Ally Magoma na Geofrey Mwaipopo wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa kosa lilofunguliwa na mwanasheria wa Klabu ya Yanga Simon Patrick ambapo walidaiwa kughushi saini za wadhamini wa Yanga.

Wakili upande wa Magoma na Mwaipopo, Jacob Masenene, amesema kosa walilokamatwa nalo linadhaminika na wao wamekamilisha taratibu zote za kupata dhamana.

Magoma na Mwaipopo wamekamatwa leo baada ya kutoka Mahakama Kuu, kusikiliza rufaa kesi yao dhidi ya bodi ya wadhamini wa Yanga, ambayo imeahirishwa hadi Agosti 21 2024 mbapo upande wa bodi ya wadhamini wa Yanga watakuwa wameshapata wito.

View attachment 3068789

Pia soma=> Magoma na YANGA ngoma bado ngumu
Hii mizee midalali ya Kariakoo ilidhani bado tunaishi enzi za Alfu leila uleila.

Kubabake ujanja wao mixer mitunguri yote imedunda mbele ya wenye pesa na elimu zao.
 
Back
Top Bottom