Magoma na wenzake watiwa Mbaroni kwa kughushi nyaraka za Yanga

Magoma na wenzake watiwa Mbaroni kwa kughushi nyaraka za Yanga

Soon Magoma anachukua timu yake hawez akakulia kariakooo mitaa ya jagwan alafu waje warabu pori wachukue timu never never...go go go Magoma
 
Wanasema huyu mzee Magoma Moto kaongeza idadi , sasa wenye akili wako watatu kwetu utopoloni!!
Hivi anachotafuta Magoma ni nini hasa? Kina nani wamemtuma? Si aanzishe timu yake tu shida ni nini?
Hersi na GSM ndiyo waanzishe timu yao.
 
Back
Top Bottom