Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mm huwa naona bombadia inakuja kunigongaNimeipenda namba 6 yaani wanajiona hawafi ingawa sura ya kufa kufa unaiona kabisa
Duniani kuna mambo kwa kweli
Hiyo nyingine ya kusikia sauti mimi ninayo ila sio subwoofer bali kama boeing vile inakuja kwa mbali
Lakini sio huo ugonjwa bali ni tinnitus
Yeah ingawa hiyo concept ya Man made mara nyingi huwa inakosa proof kwa sababu all traces za kupata hiyo proof huwa zimezibwa.. Mfano: HIV wanasema ni Lab product na ina kila sifa za kuitwa hivyo ila kuprove wameshindwa. Pia sio kila Idiopathic huenda ikawa Man made, Prwsha kubwa ya Damu (Hypertension) inaweza ikawa Primary(Idiopathic) au Secondary(With known etiology) ila hii haimaanishi ni man made.ukisikia idiopathic manake unknown aetiology but secretely ni man made diseases...
sawa..lakini genetic errors nyingi zinatengenezwa..Yeah ingawa hiyo concept ya Man made mara nyingi huwa inakosa proof kwa sababu all traces za kupata hiyo proof huwa zimezibwa.. Mfano: HIV wanasema ni Lab product na ina kila sifa za kuitwa hivyo ila kuprove wameshindwa. Pia sio kila Idiopathic huenda ikawa Man made, Prwsha kubwa ya Damu (Hypertension) inaweza ikawa Primary(Idiopathic) au Secondary(With known etiology) ila hii haimaanishi ni man made.