Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mm huwa naona bombadia inakuja kunigongaNimeipenda namba 6 yaani wanajiona hawafi ingawa sura ya kufa kufa unaiona kabisa
Duniani kuna mambo kwa kweli
Hiyo nyingine ya kusikia sauti mimi ninayo ila sio subwoofer bali kama boeing vile inakuja kwa mbali
Lakini sio huo ugonjwa bali ni tinnitus