Magonjwa 10 adimu na ya Ajabu zaidi duniani.

Magonjwa 10 adimu na ya Ajabu zaidi duniani.

Nimeipenda namba 6 yaani wanajiona hawafi ingawa sura ya kufa kufa unaiona kabisa

Duniani kuna mambo kwa kweli
Hiyo nyingine ya kusikia sauti mimi ninayo ila sio subwoofer bali kama boeing vile inakuja kwa mbali
Lakini sio huo ugonjwa bali ni tinnitus
Mm huwa naona bombadia inakuja kunigonga
 
ukisikia idiopathic manake unknown aetiology but secretely ni man made diseases...
Yeah ingawa hiyo concept ya Man made mara nyingi huwa inakosa proof kwa sababu all traces za kupata hiyo proof huwa zimezibwa.. Mfano: HIV wanasema ni Lab product na ina kila sifa za kuitwa hivyo ila kuprove wameshindwa. Pia sio kila Idiopathic huenda ikawa Man made, Prwsha kubwa ya Damu (Hypertension) inaweza ikawa Primary(Idiopathic) au Secondary(With known etiology) ila hii haimaanishi ni man made.
 
Yeah ingawa hiyo concept ya Man made mara nyingi huwa inakosa proof kwa sababu all traces za kupata hiyo proof huwa zimezibwa.. Mfano: HIV wanasema ni Lab product na ina kila sifa za kuitwa hivyo ila kuprove wameshindwa. Pia sio kila Idiopathic huenda ikawa Man made, Prwsha kubwa ya Damu (Hypertension) inaweza ikawa Primary(Idiopathic) au Secondary(With known etiology) ila hii haimaanishi ni man made.
sawa..lakini genetic errors nyingi zinatengenezwa..
mfano mzuri ni CFTR gene ambayo inaresult ya systic fibrosis,hii inasemekana ni genetic mutation katika gene factor control na lilishafanyiwa trial kabsaa...

Achana na effects za cigarrete as well as alcohol intake kusababisha lung fibrosis ,lakini inasemekana kabisa kuwa abnormal genes zinatengenezwa na kupandikwa kwenye vyakula tunavyokula badae zinaenda kuleta madhara during DNA Transcription hence mtu anakuwa ameinherit abnormal genes chain na kufanya matokeo( effects) kuonekana kwa next generation
 
Back
Top Bottom