inafuata hukumu.Nini maana ya kuishi sasa?ili tusife?tunapiga dana dana ukweli kuwa mwishoni lazime ufe, iwe kwa ugonjwa wa pombe, soda, chakula ama ajali, we live to die, ishu ni ukishakufa nini kinafuatia
Siwezi na sitoweza bora niishi mika 50 ya ulevi kuliko miaka 80 bila ya matumizi ya pombe...naenda kutizama game ya yanga na safari zangu 6Hio ni moja ya athari yake ambayo ni addiction. Ila utaweza kuacha ukiamua mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaaahaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...chapombe punguza pombe[emoji481][emoji481][emoji481][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ah mkuu hapo ushapiga nini! Usijekua upo na hallucinations, mkuu wanywaji hufa vifo vya hafla hasa vitokanavyo na magonjwa ya moyoHayo magonjwa ni myth tu mkuu, na wanaoleta propaganda ni wale wanaowaonea wivu wanywaji.
Unaweza kuhakiki kwa kutafuta statistics za nani wanaishi zaidi kati ya wasiokunywa na wanaokunywa, utakuta wanywaji wanaongoza kwa kuishi maisha marefu.
Aisee nimekupenda bule. Hivi eti unaanzaje kuangalia mfano mechi ya manchester city na chelsea ukiwa unakunywa soda au juice?Hahaha siwezi kama ni kufa acha nife tu...kwwnini nijitese bana,eti niishi mika 90 ya nin
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ila sasa ukifa kwa Pombe na Muumbaji amekataza, ni nini unadhani kitafuatia mkuu.Nini maana ya kuishi sasa?ili tusife?tunapiga dana dana ukweli kuwa mwishoni lazime ufe, iwe kwa ugonjwa wa pombe, soda, chakula ama ajali, we live to die, ishu ni ukishakufa nini kinafuatia
Hahaha mbona inanoga tu bila ya liquidAisee nimekupenda bule. Hivi eti unaanzaje kuangalia mfano mechi ya manchester city na chelsea ukiwa unakunywa soda au juice?
Na nina wasubiri hapa mana leo tumewashika ndipo, watakuja na hoja yao kuu sote tutakufa. Wakati wanajua exactly Kuna maisha baada ya kufaMkuu umegusa masilahi ya watu subiri waje wenyewe
Ni kweli kabisa ila sasa ukifa kwa Pombe na Muumbaji amekataza, ni nini unadhani kitafuatia mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ah mkuu hapo ushapiga nini! Usijekua upo na hallucinations, mkuu wanywaji hufa vifo vya hafla hasa vitokanavyo na magonjwa ya moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifuatilia kwa undani hata soda au juice za viwandani zina madhara kuliko hata pombe. Sio kila mtu anakunywa pombe ila utaona kadri siku zinavyozidi kwenda 'life expectancy' inapungua. Ukitaka kufuatilia kila chenye madhara usitumie utajikuta hujala wala kunywa kitu siku nzima
the Legend☆
Hahaha nipo narudi [emoji537], nikitulia nitatuma hizo stastics halafu tuoneYou are kidding yourself. Anayekufa hivyo hata asingekunywa angekufa.
Tafuta actuarial statistics uone life tofauti ya lifespans kati ya makundi hayo mawili, utakuta wanywaji wana likelihood ya kuishi zaidi ya wasiokunywa.
Wacha nishushie kasichana kamoja afu niusome huu uzi...Pombe imekua kimbilio la wengi kama sehemu ya starehe au moja ya kitu cha kuondoshea msongo wa mawazo. Kiukweli Pombe ni neurotoxin (sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu) ambayo huharibu ubongo kwa njia ngumu kupitia kufuta kwa mda mrefu na uondoaji wa mara kwa mara wa kumbukumbu, na kusababisha ugonjwa mkubwa na vifo pia. Yafuatayo ni magonjwa 10 yanayosababishwa na unywaji wa Pombe.
1) Ugonjwa wa ini
Pombe ukisha inywa sehemu yake kuu inapokua inavunjwa vunjwa ni katika ini, hivo huweza kukuweka katika hatari ya kuharibikiwa na ini
2)Ugonjwa wa akili (alcohol related psychosis)
Kama nilivyotangulia kueleza hapo juu kuwa Pombe ni aina ya sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu hivo baada ya mnywaji kunywa huwa anapata hallucinations na matokeo yake badae huharibikiwa na akili.
3)Ugonjwa wa Pancreas (pancreatitis)
4)Kanser
Pombe pia ni carcinogens yaani ina vitu ambavyo hupelekea mtu kuugua kansa. Mfano wa kansa kama ya koo, mdomo, ini, uchango mkubwa na puru.
5)Vidonda vya tumbo
6)Kushuka kwa kinga ya mwili
Kinga ya mwili inaposhuka mtu huwa rahis kushambuliwa na vijidudu visababishao magonjwa mfano, ugonjwa wa TB, kisukari, hata HIV.
7)Utapiamlo
8) Ugonjwa wa kudhoofu mifupa (osteoporosis)
9)Magonjwa ya moyo (cardiovascular diseases)
10) Ajali ambazo husabisha mauti au ulemavu wa kudumu.
Najua yote haya unayafahamu, lengo ni kukumbushana tu so stay calm and leave the liquid.
Sent using Jamii Forums mobile app