Magonjwa 10 yatokanayo na Pombe (hio unayokunywa wewe)

Magonjwa 10 yatokanayo na Pombe (hio unayokunywa wewe)

Hayo magonjwa ni myth tu mkuu, na wanaoleta propaganda ni wale wanaowaonea wivu wanywaji.

Unaweza kuhakiki kwa kutafuta statistics za nani wanaishi zaidi kati ya wasiokunywa na wanaokunywa, utakuta wanywaji wanaongoza kwa kuishi maisha marefu.
Hahaha ah mkuu hapo ushapiga nini! Usijekua upo na hallucinations, mkuu wanywaji hufa vifo vya hafla hasa vitokanavyo na magonjwa ya moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia kwa undani hata soda au juice za viwandani zina madhara kuliko hata pombe. Sio kila mtu anakunywa pombe ila utaona kadri siku zinavyozidi kwenda 'life expectancy' inapungua. Ukitaka kufuatilia kila chenye madhara usitumie utajikuta hujala wala kunywa kitu siku nzima

the Legend☆
 
Nini maana ya kuishi sasa?ili tusife?tunapiga dana dana ukweli kuwa mwishoni lazime ufe, iwe kwa ugonjwa wa pombe, soda, chakula ama ajali, we live to die, ishu ni ukishakufa nini kinafuatia
Ni kweli kabisa ila sasa ukifa kwa Pombe na Muumbaji amekataza, ni nini unadhani kitafuatia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka kufika usiku huu uzi utakuwa na page 70.
 
Ni kweli kabisa ila sasa ukifa kwa Pombe na Muumbaji amekataza, ni nini unadhani kitafuatia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Amekataza wapi?Yesu hakubadilisha maji kuwa mvinyo?kunywa pombe siyo dhambi ulevi ndio dhambi
IMG_4261.JPG
IMG_4262.JPG
 
Hahaha ah mkuu hapo ushapiga nini! Usijekua upo na hallucinations, mkuu wanywaji hufa vifo vya hafla hasa vitokanavyo na magonjwa ya moyo

Sent using Jamii Forums mobile app

You are kidding yourself. Anayekufa hivyo hata asingekunywa angekufa.

Tafuta actuarial statistics uone life tofauti ya lifespans kati ya makundi hayo mawili, utakuta wanywaji wana likelihood ya kuishi zaidi ya wasiokunywa.
 
Ila mkuu wastani wa kunywa soda ni chupa moja kwa siku ya mls 600, hapo unakua safe kabisa, ila Pombe hata kiwango kidogo tu kina madhara.
Ukifuatilia kwa undani hata soda au juice za viwandani zina madhara kuliko hata pombe. Sio kila mtu anakunywa pombe ila utaona kadri siku zinavyozidi kwenda 'life expectancy' inapungua. Ukitaka kufuatilia kila chenye madhara usitumie utajikuta hujala wala kunywa kitu siku nzima

the Legend☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are kidding yourself. Anayekufa hivyo hata asingekunywa angekufa.

Tafuta actuarial statistics uone life tofauti ya lifespans kati ya makundi hayo mawili, utakuta wanywaji wana likelihood ya kuishi zaidi ya wasiokunywa.
Hahaha nipo narudi [emoji537], nikitulia nitatuma hizo stastics halafu tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe imekua kimbilio la wengi kama sehemu ya starehe au moja ya kitu cha kuondoshea msongo wa mawazo. Kiukweli Pombe ni neurotoxin (sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu) ambayo huharibu ubongo kwa njia ngumu kupitia kufuta kwa mda mrefu na uondoaji wa mara kwa mara wa kumbukumbu, na kusababisha ugonjwa mkubwa na vifo pia. Yafuatayo ni magonjwa 10 yanayosababishwa na unywaji wa Pombe.
1) Ugonjwa wa ini
Pombe ukisha inywa sehemu yake kuu inapokua inavunjwa vunjwa ni katika ini, hivo huweza kukuweka katika hatari ya kuharibikiwa na ini
2)Ugonjwa wa akili (alcohol related psychosis)
Kama nilivyotangulia kueleza hapo juu kuwa Pombe ni aina ya sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu hivo baada ya mnywaji kunywa huwa anapata hallucinations na matokeo yake badae huharibikiwa na akili.
3)Ugonjwa wa Pancreas (pancreatitis)
4)Kanser
Pombe pia ni carcinogens yaani ina vitu ambavyo hupelekea mtu kuugua kansa. Mfano wa kansa kama ya koo, mdomo, ini, uchango mkubwa na puru.
5)Vidonda vya tumbo
6)Kushuka kwa kinga ya mwili
Kinga ya mwili inaposhuka mtu huwa rahis kushambuliwa na vijidudu visababishao magonjwa mfano, ugonjwa wa TB, kisukari, hata HIV.
7)Utapiamlo
8) Ugonjwa wa kudhoofu mifupa (osteoporosis)
9)Magonjwa ya moyo (cardiovascular diseases)
10) Ajali ambazo husabisha mauti au ulemavu wa kudumu.
Najua yote haya unayafahamu, lengo ni kukumbushana tu so stay calm and leave the liquid.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha nishushie kasichana kamoja afu niusome huu uzi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom