Magonjwa 10 yatokanayo na Pombe (hio unayokunywa wewe)

Umesahau UGONJWA WA SIFA.....ni nadra SNA kukuta MLEVI hajisifii AKILEWA..lazima atatamba MAISHA YAKE,,GARI hata kama hana,,Mke mzuri,,PESA hata kama hana..NGUVU ANAZO YEYE,,japokuwa ASUBUHI HUAMKA NA MANUNDU USONI,,,,mradi tu AJISIFIE..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
namba 10 ndio ukweli-inasababisha ajari kuhusu magonjwa hizo ni bhra bhra,ingekuwa inasababisha magonjwa hayo yote basi urusi watu wote wangekuwa marehemu
 
Na walivyo hawa ukimtaka hela ukale na watoto wako hatakupa ila anaweza kukununulia hata kret nzima ilimradi asiwe peke yake mana huwa wanajua kuwa wanajiua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu kule, kuna watu hawanywi pombe na migonjwa uliyoitaja unawashambulia kinoma
 
Ulitumia njia gani ukaweza kuwa mbali na hio sumu mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
sikutumia dawa yeyote bali nilirudi nipo vizuri na kichwani nilikuwa na wine ya kutosha na nyingine nimerudi nao.
sasa wakati naweka kwenye stock nikaangalia idadi ya pombe nilizonazo hasira ikanipanda nikasema naacha na ikawa hivyo japo ndani ya siku saba nikakutana na lita 5 za wine nikagoma.
sasa ndani ya wiki mbili hizi nikama nimeanza kurudi kwa kunywa wine glass 2 na nafikiri naweza kuendelea japo si kwa pombe zile nilizokuwa nakunywa.
 
ukinya utakufa, upokunywa pia utakufa tu
 
Na wanywa pombe wengi kweli wana magonjwa ya akili, hata humu comments zao zinadhihirisha.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…