Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Nimeona watu wengi wanakamblia kutibiwa nje ya nchi kutokana na kukosekana na huduma sahihi ama wataalamu wa kuwatibu!
Je, unafikiri ukiumwa ugonjwa gani hapa Tanzania ni sawa tu umehukumiwa hukumu ya kifo?
Ila ukitoka nje ya Tanzania unaweza kupata matibabu?
Karibuni
Je, unafikiri ukiumwa ugonjwa gani hapa Tanzania ni sawa tu umehukumiwa hukumu ya kifo?
Ila ukitoka nje ya Tanzania unaweza kupata matibabu?
Karibuni