Sudi jr
Senior Member
- Aug 4, 2017
- 134
- 179
ANTONINE PLAGUE (165 AD)
daeth toll: 5 million
cause: Unknown
Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD)
maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt, Asia,
PLAGUE OF JUSTINIAN (541-542)
Death Toll: 25 million
Cause: Bubonic Plague
Location: Constantinople
maeneo yaliyoathirika zaidi Europe, Byzantine empire na Constantinople city. asiliamia 40% ya wakazi wa mji wa Constantinople walipoteza maisha.
THE BLACK DEATH (1346-1353)
Death Toll: 75 – 200 million
Cause: Bubonic Plague
Location: Asia
maeneo yaliyoathirika zaidi Europe, Asia na Africa ambapo inakadiriwa kua karibia 60% ya watu wote Europe walipoteza maisha.
FLU PANDEMIC (1918)
Death Toll: 20 -50 million
Cause: Influenza
inakadiriwa kati ya mwaka 1918 -1920 tayari watu zaidi ya 50 million walipoteza maisha. ambapo mwaka 1918 pekee zaidi ya watu 500 million walipata maumbuizi ya ugonjwa huu huku 25 millions walipoteza maisha katika week 25 za mwanzo wa maambuki.
HIV/AIDS PANDEMIC 1980 - 2020+
Death Toll: 36 million
Cause: HIV/AIDS
Location: congo mnamo mwaka 1976 ndipo uliopogunduliwa kwa mara ya kwanza, ambapo mpaka sasa umeua zaidi ya watu 36 millions huku watu zaidi ya 35 millions wakiishi na maambuzi ya ugonjwa huo na wengi wao wanapatikana africa ambapo inakadiriwa kua 5% ya watu wote Africa (20 millions) wanaishi na ugonjwa huo.
Na sasa tuna CORONA VIRUS (COVID 19)
tayari umetangazwa kua ni janga la dunia (pandemic) hatujui hatima yake
MUNGU atunusuru na janga hili, huku kila mmoja akachukua hatua kuzuia kuenea kwa ugojwa huu.
daeth toll: 5 million
cause: Unknown
Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD)
maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt, Asia,
PLAGUE OF JUSTINIAN (541-542)
Death Toll: 25 million
Cause: Bubonic Plague
Location: Constantinople
maeneo yaliyoathirika zaidi Europe, Byzantine empire na Constantinople city. asiliamia 40% ya wakazi wa mji wa Constantinople walipoteza maisha.
THE BLACK DEATH (1346-1353)
Death Toll: 75 – 200 million
Cause: Bubonic Plague
Location: Asia
maeneo yaliyoathirika zaidi Europe, Asia na Africa ambapo inakadiriwa kua karibia 60% ya watu wote Europe walipoteza maisha.
FLU PANDEMIC (1918)
Death Toll: 20 -50 million
Cause: Influenza
inakadiriwa kati ya mwaka 1918 -1920 tayari watu zaidi ya 50 million walipoteza maisha. ambapo mwaka 1918 pekee zaidi ya watu 500 million walipata maumbuizi ya ugonjwa huu huku 25 millions walipoteza maisha katika week 25 za mwanzo wa maambuki.
HIV/AIDS PANDEMIC 1980 - 2020+
Death Toll: 36 million
Cause: HIV/AIDS
Location: congo mnamo mwaka 1976 ndipo uliopogunduliwa kwa mara ya kwanza, ambapo mpaka sasa umeua zaidi ya watu 36 millions huku watu zaidi ya 35 millions wakiishi na maambuzi ya ugonjwa huo na wengi wao wanapatikana africa ambapo inakadiriwa kua 5% ya watu wote Africa (20 millions) wanaishi na ugonjwa huo.
Na sasa tuna CORONA VIRUS (COVID 19)
tayari umetangazwa kua ni janga la dunia (pandemic) hatujui hatima yake
MUNGU atunusuru na janga hili, huku kila mmoja akachukua hatua kuzuia kuenea kwa ugojwa huu.