kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Duniani Kuna magonjwa uku ya hatari. Ambayo mengine hayana majina
Najisikia hali fulani hivi Ambayo na shindwa kuhelewa kama ni ugonjwa au ni maumivu
Yaani kichwani mwangu sijui kama kuna tatizo gani kichwa akiumi wala nini.
Nini sijihisi kizunguzungu.
Na jihisi hali fulani hivi.
Kama vile hali ya mtu ambaye akulala usiku mzima Yaani kichwani kiko kivingine vingine Yaani
Nashindwa kuhelewa hili Lina sababishwa na nini hasa.
Kulala na lala Tena ma saa 8 kwa siku.
Anaye jua hali hii anisahidie please
Najisikia hali fulani hivi Ambayo na shindwa kuhelewa kama ni ugonjwa au ni maumivu
Yaani kichwani mwangu sijui kama kuna tatizo gani kichwa akiumi wala nini.
Nini sijihisi kizunguzungu.
Na jihisi hali fulani hivi.
Kama vile hali ya mtu ambaye akulala usiku mzima Yaani kichwani kiko kivingine vingine Yaani
Nashindwa kuhelewa hili Lina sababishwa na nini hasa.
Kulala na lala Tena ma saa 8 kwa siku.
Anaye jua hali hii anisahidie please