Magonjwa tishio kwa vijana

Magonjwa tishio kwa vijana

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Katika Uzi huu nitaorodhesha magonjwa tishio kwa vijana 90% hutokana na Ngono na Uraibu
1. Ugonjwa wa Figo
Visababishi
-UTI isiyotibiwa
  • ulevi
  • high blood pressure isiyodhibitiwa
-Matumizi ya sigara
-kutokufanya mazoezi
- Kutokunywa maji

2. UTI
-Ngono isiyosalama
-Masuaka ya Usafi

3. HIV/AIDS
-ngono isiyosalama

4. Homa ya ini
- Ngono isiyosalama
-Visababishi vingine

5. H. Pilory (vidonda vya tumbo
-Ngono isiyosalama ( dip kiss)
-Visababishi vingine

6. Brucellosis (maumivu ya viungo)
-Ulaji wa mazao ya mifugo yenye bacteria
-

7. PID
Ngono isiyo salama
-maambukizi mengine

8. Afya Ya akili
Visababishi
-kipato Duni
- Visababishi vingine vya kimazingira
 
mirungi mishisha,mibangi we selemani.
nyimbo zetu ngono,pombe,tafuta pesa bila kujua
 
Kwanini mnasahau AFYA ya AKILI?.. mfano wenye tatizo la AFYA ya AKILI mtawaona kwa mifano hai.. fatilia tu comments chache ktk huu uzi.
Magonjwa ya akili??
Hiki kimekua ni kichaka Cha kufichia udhaifu wa watu. Watu wameshindwa kupambana na uhalisia wa maisha na badala yake wanajifichia kwenye ugonjwa
Eti unakuta mtu anaumwa depression, stress, phobia
Psychiatry disorder za kueleweka ni zile neurodegenerative disorder (Alzheimer's, Parkinson's disease), organic disorder (delirium, dementia, amnestic syndrome, organic delusional syndrome, organic hallucinosis, organic affective syndrome and organic personality syndrome)
Watu tupambane na uhalisia wa maisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv kama nahis kiu usiku yaan saa nane au tisa lazima niamke kunywa maji inaweza kua tatizo?
 
Katika Uzi huu nitaorodhesha magonjwa tishio kwa vijana 90% hutokana na Ngono na Uraibu
1. Ugonjwa wa Figo
Visababishi
-UTI isiyotibiwa
  • ulevi
  • high blood pressure isiyodhibitiwa
-Matumizi ya sigara
-kutokufanya mazoezi
- Kutokunywa maji

2. UTI
-Ngono isiyosalama
-Masuaka ya Usafi

3. HIV/AIDS
-ngono isiyosalama

4. Homa ya ini
- Ngono isiyosalama
-Visababishi vingine

5. H. Pilory (vidonda vya tumbo
-Ngono isiyosalama ( dip kiss)
-Visababishi vingine

6. Brucellosis (maumivu ya viungo)
-Ulaji wa mazao ya mifugo yenye bacteria
-

7. PID
Ngono isiyo salama
-maambukizi mengine

8. Afya Ya akili
Visababishi
-kipato Duni
- Visababishi vingine vya kimazingira
Nyimbo zetu, mirungi, mishisha, mibangi selemani
 
Back
Top Bottom