Nimewahi ugua ugonjwa wa akili nikiwa mtu mzima ila kwa neema ya Mungu nimepona kabisa na naamini Mungu ndiye amenipigania mpaka sasa; nilikuwa navua nguo barabarani; napiga watu; natukana; naongea mambo hayaeleweki; nimekutana na mauzauza; ila Mungu ameniokoa na kukua hujafa hujaumbika; ila imenifanya kuwa imara kiimani, kikubwa cha kujua kwanza ugonjwa wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine, mgonjwa wa akili ajijui kama ni mgonjwa, mgonjwa wa akili anaweza ongea/muumiza mtu yeyote pasipokujua anakosea; msaada mkubwa nilipatiwa na madaktari wa muhimbili kuna kitengo maalumu kabisa kwa ajili ya wagonjwa wa akili;
Kwa sasa ni mwaka mmoja tokea nimeacha dawa zao, nina mpango wa kwenda kumsalimia Dr wangu wiki hii
Kwa sasa ni mwaka mmoja tokea nimeacha dawa zao, nina mpango wa kwenda kumsalimia Dr wangu wiki hii