Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

Nimewahi ugua ugonjwa wa akili nikiwa mtu mzima ila kwa neema ya Mungu nimepona kabisa na naamini Mungu ndiye amenipigania mpaka sasa; nilikuwa navua nguo barabarani; napiga watu; natukana; naongea mambo hayaeleweki; nimekutana na mauzauza; ila Mungu ameniokoa na kukua hujafa hujaumbika; ila imenifanya kuwa imara kiimani, kikubwa cha kujua kwanza ugonjwa wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine, mgonjwa wa akili ajijui kama ni mgonjwa, mgonjwa wa akili anaweza ongea/muumiza mtu yeyote pasipokujua anakosea; msaada mkubwa nilipatiwa na madaktari wa muhimbili kuna kitengo maalumu kabisa kwa ajili ya wagonjwa wa akili;
Kwa sasa ni mwaka mmoja tokea nimeacha dawa zao, nina mpango wa kwenda kumsalimia Dr wangu wiki hii
 
Nimewahi ugua ugonjwa wa akili nikiwa mtu mzima ila kwa neema ya Mungu nimepona kabisa na naamini Mungu ndiye amenipigania mpaka sasa; nilikuwa navua nguo barabarani; napiga watu; natukana; naongea mambo hayaeleweki; nimekutana na mauzauza; ila Mungu ameniokoa na kukua hujafa hujaumbika; ila imenifanya kuwa imara kiimani, kikubwa cha kujua kwanza ugonjwa wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine, mgonjwa wa akili ajijui kama ni mgonjwa, mgonjwa wa akili anaweza ongea/muumiza mtu yeyote pasipokujua anakosea; msaada mkubwa nilipatiwa na madaktari wa muhimbili kuna kitengo maalumu kabisa kwa ajili ya wagonjwa wa akili;
Kwa sasa ni mwaka mmoja tokea nimeacha dawa zao, nina mpango wa kwenda kumsalimia Dr wangu wiki hii

pole sana mkuu…….hii thread imenifanya nikumbuke vitu Fulani,poleni wote mliowahi kuguswa na hili tatizo, Asante mtoa mada kwa kuonyeshe hili swala lipo katika jamii yetu(awareness)..Mungu akubariki.nimeku follow tayari...lol
 
pole sana mkuu…….hii thread imenifanya nikumbuke vitu Fulani,poleni wote mliowahi kuguswa na hili tatizo, Asante mtoa mada kwa kuonyeshe hili swala lipo katika jamii yetu(awareness)..Mungu akubariki.nimeku follow tayari...lol
Karibu mkuu; ingawa yakilipuka tena usikimbie maana niliwapa tabu sana ndugu zangu naamini natakiwa nilipe kwa ndugu jamaa na rafiki walionifariji na kuwa na Mimi katika kipindi hicho kigumu; na watu sitowasahau ni ndugu zangu maana hakuna rafiki aliyekuwa nami bega kwa bega wengine ndo waliamua kunitapeli wanafikiri sitapona kumbe Mungu wangu sijampiga viboko naye alivyowaajabu akanikumbuka nikiwa hospital nikawa Moja ya wagonjwa wachache tuliopona kabisa. Mpala leo kuna watu nimewakuta wamelazwa muhimbili bado wapo na wengine wanAFANYA kuhamishiwa pori lao sijui wapi huko; ukijiona una afya njema mshukuru sana Mungu mkuu
 
Nimewahi ugua ugonjwa wa akili nikiwa mtu mzima ila kwa neema ya Mungu nimepona kabisa na naamini Mungu ndiye amenipigania mpaka sasa; nilikuwa navua nguo barabarani; napiga watu; natukana; naongea mambo hayaeleweki; nimekutana na mauzauza; ila Mungu ameniokoa na kukua hujafa hujaumbika; ila imenifanya kuwa imara kiimani, kikubwa cha kujua kwanza ugonjwa wa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine, mgonjwa wa akili ajijui kama ni mgonjwa, mgonjwa wa akili anaweza ongea/muumiza mtu yeyote pasipokujua anakosea; msaada mkubwa nilipatiwa na madaktari wa muhimbili kuna kitengo maalumu kabisa kwa ajili ya wagonjwa wa akili;
Kwa sasa ni mwaka mmoja tokea nimeacha dawa zao, nina mpango wa kwenda kumsalimia Dr wangu wiki hii
Pole sana mkuu, na hongera Kwa kupona Mungu ni mwema,

kama utaweza kushare nasi, ilikuaje na unahisi nini kilikusababishia ugonjwa huo?,imekuchukua mda gani mpk ulivopona?,polee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu mkuu; ingawa yakilipuka tena usikimbie maana niliwapa tabu sana ndugu zangu naamini natakiwa nilipe kwa ndugu jamaa na rafiki walionifariji na kuwa na Mimi katika kipindi hicho kigumu; na watu sitowasahau ni ndugu zangu maana hakuna rafiki aliyekuwa nami bega kwa bega wengine ndo waliamua kunitapeli wanafikiri sitapona kumbe Mungu wangu sijampiga viboko naye alivyowaajabu akanikumbuka nikiwa hospital nikawa Moja ya wagonjwa wachache tuliopona kabisa. Mpala leo kuna watu nimewakuta wamelazwa muhimbili bado wapo na wengine wanAFANYA kuhamishiwa pori lao sijui wapi huko; ukijiona una afya njema mshukuru sana Mungu mkuu

imenitokea mara kibao nawaelewa sana..nishawahi ku experience mlichoexperience,namshukuru Mungu nimepona mwaka wa tatu sasa huu,ila mambo yangu mengi yalisimama ambayo ningemaliza kama sio kuumwa,nadhani hii ndio changamoto watu wengi waliougua na kupona inayowakumba..kuji udjust into normal life/community...kuumwa peke yake ni janga,ila kutoka kwenye matibabu pia can be depressing...all in all we should trust in God, he himself can override things...nimekufollow na wewe mkuu..lol
 
Pole sana mkuu, na hongera Kwa kupona Mungu ni mwema,

kama utaweza kushare nasi, ilikuaje na unahisi nini kilikusababishia ugonjwa huo?,imekuchukua mda gani mpk ulivopona?,polee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa sijajua sababu ya kitaalamu hasa mpaka kupata hilo tatizo; ila ilichukua mwezi mmoja kupona; kwani niliugua mwaka 2017 mwezi mmoja kabla ya UE nikapelekwa muhimbili nikiwa sijitambui nimefungwa kamba; nikahudumiwa pale kwa mda wa wiki kama mbili hivi na kipindi hicho chote baada ya kufika muhimbili sikuwa najitambua kabisa kwa madawa ya muhimbili...ila nikaja kupata ufahamu baadae kabisa baada ya dada yangu kuleta karatasi iliyoombewa na nabii mmoja anaitwa yaspi ingawa imani yao siielewi kabisa ila ndo nilitafuna nikApata ufahamu kabisa mpaka leo Mimi ni mzima kabisa; dawa nimeacha niña mwaka na siku zake sasa na nipo vizuri maana niliweza fanya mtihani special nikafaulu hiyo na kuchukua gamba langu na sasa napga kazi zangu binafsi vizuri na kuna ofisi fulani ya serikali nimeajiriwa na mwaka nataka Anza kusoma master ili tu kumwaaibisha shetani asiyekuwa hataki nimalize degree; hata watu wa mtaani/ndugu/rafiki wana shangaaa jamaa kaponaje?? Wengine wanafikiri nimeenda kwa waganga ila ni muujiza mkubwa sana kwangu
 
Karibu mkuu; ingawa yakilipuka tena usikimbie maana niliwapa tabu sana ndugu zangu naamini natakiwa nilipe kwa ndugu jamaa na rafiki walionifariji na kuwa na Mimi katika kipindi hicho kigumu; na watu sitowasahau ni ndugu zangu maana hakuna rafiki aliyekuwa nami bega kwa bega wengine ndo waliamua kunitapeli wanafikiri sitapona kumbe Mungu wangu sijampiga viboko naye alivyowaajabu akanikumbuka nikiwa hospital nikawa Moja ya wagonjwa wachache tuliopona kabisa. Mpala leo kuna watu nimewakuta wamelazwa muhimbili bado wapo na wengine wanAFANYA kuhamishiwa pori lao sijui wapi huko; ukijiona una afya njema mshukuru sana Mungu mkuu

hata mimi ndugu zangu sitawasahau kwamwe hasa my Mom , hivi nikiwa kwenye uzima namkumbuka jinsi alivyohangaika mpaka nafeel guilty,badala ya mimi kumhudumia na uzee wake yeye ndio ananihudmumia...yote namuachia Mungu …ni vizur kuona kuna watu tuna share the same experience
 
Nina rafiki yangu ambae Nilisoma
Nae shule ya msingi but tulivyo maliza alikuwa na mishe zake mtaan akajikuta Ana lowea Sana kwenye pombe na uvutaji wa bangi
. Baadae mambo yaka alibika akawa kama taahila

Ni kwel wazaz wake walampeleka kwa mganga huko alikaa kama mwaka mzima bila kupata nafuu

Na kumbuka mama yangu alinambia kuwa rafiki yako ajarogwa huo ni ugonjwa wa akili Lakin kamwe Sikuwahi kueleweka kwa ndugu zake ambao Wali kuwa wakimuuguza huko walinisikia Lakin kama Wali kuwa wananipuuza

ILa baadae jamaa alizidiwa Sana akawa katepeta Sana ad mganga aka shauli aende hospitality so huko ndio ikawa salama yake akapata nafuu na kuendelea na maujukumu mengine

ILa Kuna dawa alikuwa anatikiwa kumeza kila siku baada ya miaka kadhaa jamaa Ali acha kumeza dawa ugonjwa ukamludia so ikabid alud kule Sasa hivi Mungu mwema anaendelea vema na dawa Ana tumia pia

Japo hali yake huwa Ina badilika Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imenitokea mara kibao nawaelewa sana..nishawahi ku experience mlichoexperience,namshukuru Mungu nimepona mwaka wa tatu sasa huu,ila mambo yangu mengi yalisimama ambayo ningemaliza kama sio kuumwa,nadhani hii ndio changamoto watu wengi waliougua na kupona inayowakumba..kuji udjust into normal life/community...kuumwa peke yake ni janga,ila kutoka kwenye matibabu pia can be depressing...all in all we should trust in God, he himself can override things...nimekufollow na wewe mkuu..lol
Ooh pole dear Rebecca,Mungu na azidi kuwapigania wote mliopitia/mnaopitia hali hizo
Inasikitisha[emoji25]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata mimi ndugu zangu sitawasahau kwamwe hasa my Mom , hivi nikiwa kwenye uzima namkumbuka jinsi alivyohangaika mpaka nafeel guilty,badala ya mimi kumhudumia na uzee wake yeye ndio ananihudmumia...yote namuachia Mungu …ni vizur kuona kuna watu tuna share the same experience
True mkuu; sema pia kuna wengine wasipoacha dawa kichwa kinalipuka tena; maana kuna mdada mmoja yeye alinitambua kipindi naingia ila mimi sikuwa nimemtambua maana nilikuwa kwenye hali mbaya sana; ila yeye mpaka leo hawezi acha madawa maana mambo yanamharibikia kirahisi sana; sema familia zetu za kiafrika watu wanachukulia ni kulogwa/mizimu ya ukoo; na kuna watu mpaka leo wananisisitiza tukachinjie mbuzi mizimu ili hii case iishe nawaona hawajitambui maana haya ni magonjwa kama malaria tu
 
Mpaka sasa sijajua sababu ya kitaalamu hasa mpaka kupata hilo tatizo; ila ilichukua mwezi mmoja kupona; kwani niliugua mwaka 2017 mwezi mmoja kabla ya UE nikapelekwa muhimbili nikiwa sijitambui nimefungwa kamba; nikahudumiwa pale kwa mda wa wiki kama mbili hivi na kipindi hicho chote baada ya kufika muhimbili sikuwa najitambua kabisa kwa madawa ya muhimbili...ila nikaja kupata ufahamu baadae kabisa baada ya dada yangu kuleta karatasi iliyoombewa na nabii mmoja anaitwa yaspi ingawa imani yao siielewi kabisa ila ndo nilitafuna nikApata ufahamu kabisa mpaka leo Mimi ni mzima kabisa; dawa nimeacha niña mwaka na siku zake sasa na nipo vizuri maana niliweza fanya mtihani special nikafaulu hiyo na kuchukua gamba langu na sasa napga kazi zangu binafsi vizuri na kuna ofisi fulani ya serikali nimeajiriwa na mwaka nataka Anza kusoma master ili tu kumwaaibisha shetani asiyekuwa hataki nimalize degree; hata watu wa mtaani/ndugu/rafiki wana shangaaa jamaa kaponaje?? Wengine wanafikiri nimeenda kwa waganga ila ni muujiza mkubwa sana kwangu
Jamani ulikua chuo,Pole sana sana

Hakika hujafa hujaumbika..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina rafiki yangu ambae Nilisoma
Nae shule ya msingi but tulivyo maliza alikuwa na mishe zake mtaan akajikuta Ana lowea Sana kwenye pombe na uvutaji wa bangi
. Baadae mambo yaka alibika akawa kama taahila

Ni kwel wazaz wake walampeleka kwa mganga huko alikaa kama mwaka mzima bila kupata nafuu

Na kumbuka mama yangu alinambia kuwa rafiki yako ajarogwa huo ni ugonjwa wa akili Lakin kamwe Sikuwahi kueleweka kwa ndugu zake ambao Wali kuwa wakimuuguza huko walinisikia Lakin kama Wali kuwa wananipuuza

ILa baadae jamaa alizidiwa Sana akawa katepeta Sana ad mganga aka shauli aende hospitality so huko ndio ikawa salama yake akapata nafuu na kuendelea na maujukumu mengine

ILa Kuna dawa alikuwa anatikiwa kumeza kila siku baada ya miaka kadhaa jamaa Ali acha kumeza dawa ugonjwa ukamludia so ikabid alud kule Sasa hivi Mungu mwema anaendelea vema na dawa Ana tumia pia

Japo hali yake huwa Ina badilika Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachonipa moyo ni ile hali yangu ya kupona kabisa na kuweza tekeleza majukumu yangu vizuri na huwa nikipita muhimbili nakutana na jamaa niliokuwa nao hospital clinic moja maana kuna siku maalum yaa clinic nikiona wanaendelea na dawa nami Mungu ameniponya kabisa; najua si kwa kuwa ni bora kuliko wao ila ni kwa neema tu
 
mkuu, nashukuru kwa hii post, kwakua umelenga mchakato wangu wakuandaa project proposal ya kusaidia watu wenye matatizo ya akili waliotelekezwa na ndugu zao mitaani,

hii ni kwasababu wengi wamekua wakitendewa vitendo vya kubakwa au kulawitiwa pasipo msaada wa kisheria hata kama itajulikana.

mvua jua lao maradhi kama malaria, homa ya mapafu, magonjwa ya zinaa, ukimwi n.k vimekua ni vitu vya kawaida na mateso kwao pasipo mtu wa kutambua hisia zao. pia kwa upande wa wanawake kupata mimba zisizotarajiwa na kuharibika kutokana na mazingira.

watu hawa wameondolewa utu wao kabisa labda akifa ndio husitiriwa, lakini uhai wao hauna dhamani kabisa, ni jambo lakushangaza saana kwetu sisi wanadamu.

jambo tusilolijua ni kwambwa pengine nasi twaweza kua wagonjwa wa akili kesho kutokana na changamoto za maisha. Tuwasaidie wenzetu jamani.

nakupongeza mleta mada kwakunitia moyo kwamba tunaweza wasaidia na wakapone wenzetu wenye hili tatizo. Mungu akubariki saana na atamsaidia mama yetu atayasahau yaliyo pita.
 
Uzi mzuri sana huu kuna watu natakiwa kuwasaidia kupitia hapa.
 
Back
Top Bottom