Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

Màana ukienda hospitalini utaambiwa ni ugonjwa was akili unasababishwa na msongo wa mawazo, ukienda makanisa ya walokole utaambiwa ni suala la kiroho
Ukienda kwa waganga wanasema umerogwa au umetupiwa jini
 
So hard jamani... Kuna Mjomba wangu akianza kuugua attempt za kutaka kujiua ni nyingi sana...!!

Tatizo akitubiwa akipata nafuu anaenda kushinda kwenye kwenye baa na bucha...Ni mwendo wa pombe sana nyama kiasi...


Nawaonea huruma sana Binamu zangu.
Hiyo ni psychosis
 
Mkuu kama hutojali waweza ni PM namba za huyo daktari aliemsaidia mzee wako au jina la hospitali tafadhali....
Psychiatry hospitali kubwa zote IPO.. unless ukutane na dokta ambaye sio Competent. Mana hata magonjwa yanachanganya dalili mengine yanafanana na magonjwa ya Sukari kushuka 'Hypoglicemia'
 
Wagonjwa wa akili karibu wote wanaanzaga na matibabu ya spirits au magic. Imani za kulogwa Afrika bado ziko kiwango cha juu mnoo
 
Hivi ugonjwa wa akili ni msongo wa mawazo au mkono wa mtu? Na je tofauti ya hzo mbili ni nini?
Wagonjwa wa akili ni mental disrupt! Binadam tukikutana na mambo magum kwenye maisha tunasafa. Na hli hii inaweza kuacha lonterm effect Kwa mtu. Kipindi mtu kaachwa/kafumania.. mtu kamaliza chuo Hana kazi, kafukuzwa kazi. Kafiwa na mtu anaempenda au kashangazwa tu. Hiv vipindi vinamleta kwenye Hali ya kufikiria muda mref then hafikii suluhu. Yani ni kufikiria tu twenti foo pa Seven. Huko ndiko mfumo wa ubongo unaanza kuleta hitilafu. Kama vile, kuzalisha kemikali za furaha nyingi kupita kiwango au ndogo . Zikiwa nyingi mgonjwa anakua na furah kupita kias na vicheko tu bila sabb za msingi na zikiwa ndogo wanahuzunika Kila wakati...
Lakin pia Kuna ugonjwa mmoja ni bigger than we think! Bila exclusion criteria kila mmoja wetu humu ataonekana anao unaitwa BIPOLAR.
 
Kama umepona na karatasi ya tarasimu wewe ulirogwa
 

Kama Unamaanisha wendawazimu, wehu, machizi, mapunguani, wasio na akili? kwa "wagonjwa wa akili", elewa kuwa hakuna Mtanzania asiyehusika.
 
Madness is not mental ilnes. Do not confuse
 
Usiache...dawa..hali itarudi kama.zamani

Dawa za mngonjwa wa akili anatumia hadi anakufa
Siyo kweli,Tricky yake ni ndogo mnoo..the day utakapo realize utajicheka sometimes.
Magonjwa mengi ya akili ni matokeo ya malezi ambayo mtu umeyapitia since ukiwa mdogo,ama traumas mbalimbali.

Ukikutana na therapist ingawa ni wachache hapa bongo,atakueleleza namna ya kurelease those suppressed Emotions ambazo zinaku control unconsciously.

By six months utakuwa ok kabisa.
 
Psychiatry hospitali kubwa zote IPO.. unless ukutane na dokta ambaye sio Competent. Mana hata magonjwa yanachanganya dalili mengine yanafanana na magonjwa ya Sukari kushuka 'Hypoglicemia'
Mkuu,mwili ukiwa katika tension muda wote unakuwa ready kwa mapambano..hivyo sukari inakuwa released kwa wingi kwa ajili ya mapambano.. maana ubongo unaamuru kuwa kuna hatari. Matokeo yake sukari yote inaisha,ndo maana unakuta huyo mtu ana energy kwa kiwango kidogo mnoo..na ukimpima sukari unakuta ipo chini sana.
 
Hata waumini wa makanisa ya walokole wengi wao ni wagonjwa wa akili.

Wanatakiwa wapate haloperidol
 
Pole sana shangazi yako ana Mme na watoto?
Watu wengi wanaopitia hyo hali Huwa wanaohitaji mtu wa kuwasikiliza na kupiga story Kwa wingi hawatakiwi kuwa na mawazo
 
Duuh kwani shangazi yako hana familia mkuu yani mume na watoto
 
Uwezekano wa ugonjwa wa akili kukurudia baada ya kuacha dawa ni mkubwa sana...nimewahi kupona kabisa ugonjwa wa akili ila baada ya miamka mitano umenieudia ila niko poa naendelea na dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…