Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

Niliandika hii post nikiwa na machungu sana, nikijua pengine kuna wengi wanapitia ninachopitia. Nafurahi kuwa wengi mmefunguka. Mungu azidi kuwainua na kuwaponya.
 
Kuna hizi hospital za vichaa wagonjwa wanapigwa sana na ni Moja ya mbinu zinazotumika kuwatuliza, wachanga wa hili wanaporudi kwenye sense wanalaumu sana kunahaja ya kuja na solution ya tiba za asili juu ya hili, tena hii liwe ni jambo la kitaifa. Na kuhusu neno la afya ya akili ni propaganda akili haina afya maana akili haipo kichwani ni mawimbi. Maana ulivyo tuna ubongo yaani antenna au dish Sasa akili ikowapiil hapo ndio maana mtu akipata tatizo kama ajali na eneo la ubongo likaathirika basi mawimbi ambayo tunaita akili hupatikana kwa shida.
Ni vyema kama unamtu mwenye changamoto hii ni lazima mumuhimize awe anapata usingizi wakutosha hata kwakutmia dawa na hapa pia ziko dawa za asili zakumps urahisi wakulala.
 
Nazungumzaga hapa kila muda juu ya usingizi na muda mwingi wa kulala. Unajua wagonjwa wemgi wa mood disorders wanasumbuliwa na kukosa usingizi na ashki iliyopita kiwango.. kulala zaidi kuna matokeo chanya juu ya maendeleo yao asee
 
U
Unatumia model ya mwak gani kufanya assessment ya mgonjwa wako?
Mimi sio daktari ila hujui kuwa kuna mood disorders ambazo ni magonjwa ya akili, na magonjwa yote ya akili sio mood disorders, kama umeshindwa kujua hili katika this Internet era basi tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…