Magori bhana yaani unaacha Kumlaumu Beki Kelvin Kijiri kwa Kujifunga, Wewe kwa Kutuzuga jinsi mnavyoiharbu Simba SC umekimbilia Kumlaumu Kipa Camara

Magori bhana yaani unaacha Kumlaumu Beki Kelvin Kijiri kwa Kujifunga, Wewe kwa Kutuzuga jinsi mnavyoiharbu Simba SC umekimbilia Kumlaumu Kipa Camara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimetizama kiumakini kabisa Goli la Yanga SC na sijaona na sioni kwanini Poti wangu kutoka Mkoani Mara (Musoma) Crescentius Magori umekimbilia Kumlaumu Kipa Camara. Magori ingekuwaje kama Kipa Camara asingeenda Kuupangua ule Mpira kwa Kusimama na Goli kuingia? Si ungemuua kabisa Kijana wa Watu kutoka Conackry Guinea?

Magori inamaana pamoja na Kumaliza Mafunzo yako ya Ukocha bado tu hujaweza Kuuchambua Mpira Kitaalamu? Kwahiyo Poti wangu Magori na Wewe kabisa ulikuwa unaamini kuwa Simba SC yako / yetu ambayo bado inajijenga leo ingefunga Yanga SC ambayo imeshajidhatiti kwa Ufundi ndani ya Uwanja na Umafia wa Nje ya Uwanja?

Magori inakuwaje unapenda sana kuwa karibu na Rafiki yako Said Tully ambaye nilisoma nae Shighatini Mwanga Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mchezaji wetu wa zamani Wycliff Keto ambapo Mimi GENTAMYCINE namjua ni Shabiki wa Yanga SC lia lia halafu Simba SC kwa Kukurupuka kwenu mkampa Ujumbe na sasa hayuko ila anapata Siri nyingi za Ndani na Kuziuza kwa Upande wa Pili na Kutudhuru?

Poti wangu Magori nakujua kabisa kuwa Wewe ni Mafia wa Soka la Tanzania inamaana hadi leo hii hujajua tu kuwa Msemaji wako Ahmed Ali ni mwana Yanga SC lia lia na kwamba huwa anazungumza Mambo ya Simba SC akiwa anawashtua Yanga SC ili wajiandae vyema nasi ili waje Kutuadhibu kama ambavyo leo wametuahibu tena?

Magori Simba SC yako / yetu itashinda Mechi zingine zote ila siyo kwa Kumfunga Yanga SC kwa miaka ya sasa Okay?
 
inawezekana ni masharti ya mganga ya Utopolo hayo, leo wahakikishe wanamfunga kipa wa Simba ili washinde tar 19
Nilipowaambia katika post hii kuwa Mzize kujifunga siku ile ilikuwa ni masharti ya waganga wao hamkunielewa.
 
Kwa nchi zinazojitambua hizi tuhuma alizotoa ni nzito sana. Match fixing na Doping hukurupuki tu kuviongelea.
 
Kwani simba wote si yanga wale sasa kama mo mwenyewe ni yanga kuna nini tena
 
Kwahyo leo sio Manura tena lawama zote ni tray again? Hv hakuna siku Yanga iliwai kumfunga simba na scouting wa timu yenu akiwa Zakaria Ansipop wengine mnamwita Usalama wa taifa? Kubalini mpira unachezwa uwanjani sio nje ya hapo. Ili tatizo lina igharimu mpaka nchi maana kila kitu kikwama wanasema wapinzani ukijiuliza wapinzani ni wangapi hawafiki ata ishirini kwenye Nchi. Tafadhali tusikimbie vinvuli vyetu.
 
Back
Top Bottom