Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Wivu ni kidonda ukiushiriki utakondaNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Hata Lissu alikuwa analipwa hivyo? Hapana bhana kamanda Lissu angekataa au angesema nusu iende kwa wananchiMkuu Bungeni ndio eneo unalolipwa kwa kukaa kwenye kiti chako cha kazi.
Ni eneo unalonunua gari lako na nusu ya pesa inalipwa a kodi za mlalahoi wa dola 1 kwa siku
Ndilo eneo unalopewa pesa ya mafuta kwa kwenda kazini kwako
Ndilo eneo unalolipwa kwa kuwa kwenye kamati ya kazi yako mwenyewe.
Ni eneo unaloweza kulala tu kutwa nzima na hakuna anaykuuliza ''deliverables'
Ni eneo ambalo Mbunge, spouse , housegirl na jirani wanaweza kwenda kumsalimia India na kulipwa posho.
Ni eneo unalolipwa kiinua mgongo kikali kuliko kazi nyingine yoyote nchini
Ni eneo ambalo husubiri miaka 65 kupata mafao, siku ya mwisho unapata mamilioni karibu na bilioni.
Kwanini anakwenda Bungeni? Ni ''addiction' ya pesa. Ili aache na abaki salama bila withdraw symptoms, lazima umpe pesa kidogo kidogo kwa miaka 5 . Kidogo kidogo I mean kama milioni 10 kwa mwezi
Tunaongelea Wabunge na Bunge na ndiyo maana nimetumia neno institution !Hata Lissu alikuwa analipwa hivyo? Hapana bhana kamanda Lissu angekataa au angesema nusu iende kwa wananchi
Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Nimeelewa ila nadhani sio kweli Kwan kwa uzalendo wa Lissu hakika angepinga kulipwa mapesa yote hayo wakati wananchi wako na mashidaTunaongelea Wabunge na Bunge na ndiyo maana nimetumia neno institution !
Soma mada uelewe kwanza kabla hujachangia.
Kuna tofauti kati ya kusoma na kuelewa. Nadhani umesoma, sina uhakika ..
Nani anaongelea Lissu? Huko hatupo. Tunaongelea Bunge as an institutionNimeelewa ila nadhani sio kweli Kwan kwa uzalendo wa Lissu hakika angepinga kulipwa mapesa yote hayo wakati wananchi wako na mashida
Alikwina?Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
ππππ€£πππ€£ππππ€£π€£Yule mama sijawahi ona impact yake jamani..hivi hawaoni hata aibu jamani mbwa Hawa!
Bibi yako Anne Makinda akiwa spika wa Bunge aliwahi sema wabunge ni 'FRUSTRATED GROUP'..Akitetea maslahi yao. Imagine....Hata Mimi nimeshangaa na wakikujibu hebu 'nitagi' na Mimi pia. Hata hivyo aliyenishangaza zaidi tu ni 'Former First Lady' Salma Kikwete. Kazi ipo!
Ni kweli ni mjane. Tunao wajane wa aina nyingi. Kuna wale ambao waliteseka hata kabla ya kufiwa na waume zao kwa jinsi walivyokuwa na umaskini wa kutupwa. Hivi kweli huyu mjane ambaye aliwahi kuwa Waziri na baadae Mhe. Mbunge anastahiki huruma zaidi ya hao?Huyo unamuonea tu ni mjane, anakwenda kutafuta riziki ya kujikimu.
Maajabu yapo jimbo la Mchinga, Salma Kikwete Mungu amenyima nini?
Kama Watanzania wangekuwa wanajitambuwa hawa wamama wawili ni wa kupigwa chini ili wakajifunze busara kwanza.
Im afraid these mps are heavily indebted.. Yani wana madeni kufaa..Ni kweli ni mjane. Tunao wajane wa aina nyingi. Kuna wale ambao waliteseka hata kabla ya kufiwa na waume zao kwa jinsi walivyokuwa na umaskini wa kutupwa. Hivi kweli huyu mjane ambaye aliwahi kuwa Waziri na baadae Mhe. Mbunge anastahiki huruma zaidi ya hao?
Bunge now limekuwa kama kijiwe hakuna jipyaNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
ππππ€£πππ€£ππππ€£π€£
Punguza hasira my Dearr....ππ
Inakera basi tu.
Imagine first lady.. 10 years state house... Mme Rais 10 years.. Bado anahitaji ubunge..
Africa ni hell aisee.. Yani ule moto wa mbinguni mi naona ndo Africa yenyewe.
Unbelieavable. Haki tena pesa haijawahi tosha.
Kabisa mkuu.Kuna watu vipato vyao vinategemea madaraka ya kisiasa, nje ya hapo maisha yao ni magumu sana!
Mkuu Bungeni ndio eneo unalolipwa kwa kukaa kwenye kiti chako cha kazi.
Ni eneo unalonunua gari lako na nusu ya pesa inalipwa a kodi za mlalahoi wa dola 1 kwa siku
Ndilo eneo unalopewa pesa ya mafuta kwa kwenda kazini kwako
Ndilo eneo unalolipwa kwa kuwa kwenye kamati ya kazi yako mwenyewe.
Ni eneo unaloweza kulala tu kutwa nzima na hakuna anaykuuliza ''deliverables'
Ni eneo ambalo Mbunge, spouse , housegirl na jirani wanaweza kwenda kumsalimia India na kulipwa posho.
Ni eneo unalolipwa kiinua mgongo kikali kuliko kazi nyingine yoyote nchini
Ni eneo ambalo husubiri miaka 65 kupata mafao, siku ya mwisho unapata mamilioni karibu na bilioni.
Kwanini anakwenda Bungeni? Ni ''addiction' ya pesa. Ili aache na abaki salama bila withdraw symptoms, lazima umpe pesa kidogo kidogo kwa miaka 5 . Kidogo kidogo I mean kama milioni 10 kwa mwezi