Yanajidharaulisha sana haya mabibi...
Sijui yule benja hajamshauri?
Yaani! Nakumbuka aliyekuwa mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse alishinda ubunge kwa upepo wa Dr. Slaa 2010, 2015 akasema hataki tena, anaendelea na shughuli zake.
Huyo mchungaji namkumbuka, anajitambuwa sanaYaani! Nakumbuka aliyekuwa mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse alishinda ubunge kwa upepo wa Dr. Slaa 2010, 2015 akasema hataki tena, anaendelea na shughuli zake.
Kabisa mkuu. 2016 nilikutana nae yuko simple na shughuli zake alishakusanya mtaji wake.Huyo mchungaji namkumbuka, anajitambuwa sana
Ubunge aligombea baada ya kuombwa na Dr Slaa ili jimbo la Karatu libaki Chadema
mtizamo wako ,swala ni kwamba na yeye anatumikia tumbo lake na familia yake,ulizia alipokua mbunge pale KWAO Kafanya nini?miaka 10Na hii ndio kitu waCCM na MATAGA yao hawaelewi unapowaambia tatizo la ufisadi wa Tanzania si Lowassa & Co, bali ni mfumo wa utawala. Mfumo wenyewe ni fisadi (wizi wa pesa za walipa kodi ambao umehalalishwa kwa kutungiwa sheria na watawala = kleptocracy), na kwa mantiki hii maamuzi mengi ya Magufuli ni ufisadi (mfano, CIA, ndege za atcl, nk). Malipo na mafao ya wabunge ni aina nyingine ya ufisadi uliokubuhu. Mbunge analipwa mabilioni na mabilioni kwa miaka kumi, kumi na mitano lakini jimboni mwake wananchi wanakunywa maji ya vidimbwi, watoto wanakaa sakafuni kusoma, nk. Na kila baada ya miaka mitano mtu huyo huyo anarudi kuomba kura. Sasa hakuna namna nyingine yo yote ile ya kuuondoa huu ufisadi bila kubadilisha mfumo, na njia ya kubadilisha mfumo ni Katiba Mpya, na kwa hakika katika hili tuliishapiga hamtiamo wako swaltua - Rasimu ya Warioba. Inahitaji ujasiri tu wa waTz kukubaliana turudi pale tulipopumzikia na kuendelea na safari. Ninafurahi sana kuona TAL analisisitiza jambo hili. Bahati mbaya ni wachache wanamwelewa.
alafu Slaa akArudi CCMHuyo mchungaji namkumbuka, anajitambuwa sana
Ubunge aligombea baada ya kuombwa na Dr Slaa ili jimbo la Karatu libaki Chadema
inakuja hiyo Magu kashasoma Bashite ndio kamkumbusha tu na kesho we Mbunge kaa kwenu na posho upewe ukiwa kwenu, hakuna mil 200 baada ya ubunge hakuna magari mtatumia tayota sio vx then mkimaliza ubunge mrare mbere"Nafikiri kama tunataka seriously kuchuja wagombea dizain hii ni kupunguza posho na zingine kufuta kabisa..
Ikiwezekana mbunge na katibu wizara na DC wasiwe tofauti kimshahara na posho
Sio tu kuambiwa wakajiajiri, hawa wanasiasa huwa wanasema wanawashangaa sana vijana eti "kwanini hawazioni fursa !!"Afu vijana wanaambiwa wakajiajiri,,,Wao kutwa kutafuta ubunge Bora angepumzika tu
Njaa na hofu au vitisho vya watu wasiojulikana maana nina uhakika walikuwepo tangia wakati ule kwa mtindo tofauti na ule wa shambulizi la mchana kweupe dhidi ya Mh.Lissu pale Area D.Hivyo wakati mwingine hata Dr Tlaa yalimkuta na ndipo akapewa Scholarship nchini Canada kabla ya Ubalozi.alafu Slaa akArudi CCM
Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura.
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa.
Nimekuelewa sana,hakika jamii forum ni kisiwa cha burudanWapiga kura wanatakiwa kuwa makini, hiyo ni sawa na cheti cha ndoa unakipata bila kusoma wala kufanya mtihani, ila mtiti wake mbele ya safari watajutia maamuzi