Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamii zinaabudu familia Fulani. Ulambo Ni Kama Pwani. Tabia zao mojaKuna watu vipato vyao vinategemea madaraka ya kisiasa, nje ya hapo maisha yao ni magumu sana!
Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura.
Kutamu una baki kula vizuriNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Dah GT, kwa huyu mama tumuache aende bungeni hadi achoke. TusiMuonee na kumuandama. She's so humble and innocent she can't even hurt a fly.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Dah GT, kwa huyu mama tumuache aende bungeni hadi achoke. TusiMuonee na kumuandama. She's so humble and innocent she can't even hurt a fly.
Mungu amjalie maisha marefu na afya njema.
Anaenda kutete head phone za masikioniKwani Mama Salma anaenda kufanya nini
UVCCM wajibu haya maswali Kama wapo huko JFNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Afu vijana wanaambiwa wakajiajiri,,,Wao kutwa kutafuta ubunge Bora angepumzika tuNimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...
Bado ana watoto wadogo jamani.Kwani Mama Salma anaenda kufanya nini
Mkuu Bungeni ndio eneo unalolipwa kwa kukaa kwenye kiti chako cha kazi.Nimeshangaa kuona Magreth Sitta anapiga hadi magoti kuomba kura..
Hivi Kwa muda wote aliokuwa bungeni amefanya nini?
Anataka kwenda kufanya nini?
Kwani lazima kuwa mbunge?
Sijaelewa kabisa...