Magroup ya damu na uzazi

Magroup ya damu na uzazi

Je ikiwa B negative kwa mwanaume na O positive kwa mwanamke je Hali ikoje kwa Uzazi
 
Haemolytic disease of a new born ndio ugonjwa au tatizo ambalo linaweza mpata mtu au wazazi wenye magroup ya damu yenye rhesus eg 0,A,AB+ve pale wanapo mate na wasio na rhesus yan 0,A, AB- tatizo lina kuwa kwnye Autoimmune system antibody kama IGg zinakuwa zina cross placenta kwakuwa ni ndogo zina uwezo wa kupita ivyo zina kwenda haribu mimba.

Mara nyingi mtoto wa 1 huzaliwa vzr ila wanao fuata ndo huwa mimba zinakuwa zina toka zote.

Kipi chakufanya: ni vzur wazazi wote kujua ma group yao ya damu kabla yaku chukua jukumu laku pata mtoto, pia iwapo mama atajulikana ana hilo tatizo zilo sindano zaku zuia huchomwa baada yaku jifungua kuzuia hyo hypesentivity.
Kingine cha kuongezea ni kwamba. Magroup ya damu kwenye mwili wa binadam ni mengi sana, yanaweza kuzidi ata miatatu na kitu. lakini magroup muhim kuyajua au kuyazingatia ni kama 12 au 13 ivi.
Haya ni yale ambayo daktar au mtoa huduma akikosea akayachanganya yanaleta shida au madhara kwa mgonjwa. Mfano. kawaida kitaalam tunazingatia magroup mawili ambayo ni ABO(A,B,AB,O) na RH (RHESUS) Ambapo kuna cabohydrate ambazo zinatengeneza protein A(ambalo ndilo group A). kuna cabohydrate ambazo zinatengeneza protein B. (ambalo ndilo group B).na pia kuna cabohydrate ambazo zinatengeneza protein zote mbili AB(ambalo ndilo group AB). lakin kuna protein ambazo hazina protine A wala B hizo ndizo huitwa 0 (ndilo group O) rasmi.
lakini unapokuja kwenye kundi la RHESUS (RH). kuna protein kama E,e,C,c na D. Lakin hapa D ndio huzingatiwa sana kuliko mengine apo. unaweza kuwa na na group O na mwingine akawa na group O. lakin kama kuna mpishano kwenye (RH) bas hizi damu zikichanganywa hutokea tatizo. Na protein hizi huweza kutengeneza kitu kinachoitwa antigen
 
Back
Top Bottom