yes..nampenda sana mke wangu ati...
Hahahahaha na umpende milele.Mie nawatakia kila la kheri
was kidding my love..
i never joined any group.
love u
Hivi hiyo picha kwenye avatar yako ni wewe au nimekufananisha?
hebu nikumbushe mamito tumewahi onana wapi?
mbona option ya "Faida" hujaweka mkuu
hamna hasara zaidi ya uchangamfu tu kwny jamii!!!