Magufuli aagiza wataalam wa ICT kutokea Rwanda

PAul Makonda anakutafuta ujue
 

sioni tatizo kuchukua utaalamu kutoka nchi jirani, hata wao tuliwapelekea wataalamu wa upasuaji wa moyo wa kibongo. ninachojua hao wataalamu wakija lazima washilikiane na wataalamu wa bongo. sisi wabongo lazima tuwashikilie wa rwanda, hatuwezi kuwaachia koz wale ni soko letu. lazima tuwavute. siulisikia mikakati ya kujenga reli?
 
PAul Makonda anakutafuta ujue

Hehehe! Huyo niliskia kaibuka na kauli za kwamba uki-like page ya mashoga unalo, anakutia ndani, hata ukifollow bado atakukamata. Ukimualika shoga kwenye harusi yako, Makonda atakuibukia, sasa sijui utajuaje yupi shoga maana hawana alama.
Unashtukia polisi mlangoni kwamba kwenye sherehe yako ya harusi kuna shoga, hivyo nyote moja kwa moja hadi jela.
 


una matatizo wewe ....pengine hapo ulipo huna kitu cha kujivunia .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…