Magufuli achana na Raila,sifa zake "chafu" Msaidizi wake wa karibu kazianika hadharani kupitia kitabu

Haha siku mkizijua tabia za John kinaga ubaga mtalia na kusaga meno..... hayo ya Raila ni tone ktk dimbwi la tabia za John.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine Miguna wa Miguna ataandika sura moja kuhusu tabia za marafiki zake Odinga. Kiuhalisia yule ni mtu hatari sana. Ukiona mtu anayefanya mbinu watu wake wasipate chakula ili apate umaarufu wa kisiasa muogope kama ukoma.

Bahati nzuri kwenye kampeni katika nchi yenye demokrasia kama Kenya alitumia jina la mwandani wake kuomba kura akaangukia pua kwenye uchaguzi, kwamba mkinichagua nitaongoza kama rafiki yangu. Hii kauli ilimgharimu sana RAO.
 
Urafiki wa JPM na Raila hauna uhusiano na urais wa nchi ni urafiki wa mtu na mtu kama mimi na wewe hivyo basi kila mtu ana haki ya kuwa na rafiki ampendae
 
Ila kwa kweli raila ana sura ya kilevi,tena ule ulevi wa kuyumba na kupepesuka
 
Hayo mawaa ya Raila usifananishe kabisa na Pogba..

Huyu ni balaa hasa kwenye kupenda wanawake..

Amezaa mpaka na mdogo wa mkewe..

Huko Mwanza kila mtaa inadaiwa ana mtoto..

Anapenda ngono kupita maelezo huyu.
Noma sana
 
Umetumwa ww sio bure

ningekushauri siasa za Kenya waachie wakenya wenyewe

usihusishe na tz urafiki wa mtu na mtu ni mambo binafsi
 
OK sasa ndio nini sasa acha ushoga wewe mtoto wa kiume
 
Punguzeni kelele Chadeko. Tunajua kuwa mlishinda uchaguzi wa Kenya.
 
Aisee angeshinda Raila, sijui ingekuwaje.
Ikulu za east africa zingekuwa hapatoshi kwa totoz
Zingekuwa zinapigwa threesome za kufa mtu.
Kuna mmoja kapewa uongozi pale uvccm, anatafunwa km njugu, anatembea kila kona ya dunia sasa
Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Raila si kiongozi mzuri kwani mwaka 1982 alihusika na mapinduzi yaliyofanyika Kenya kwa muda na zaidi ya wakenya 2000 waliuawa. Raila yupo tayari kuona kenya ikisarambatika na watu kufa ili apate madaraka.
Ktk issue ile ya mapinduzi ya mwaka 1982 waliootuumiwa ktk mapinduzi yale ni Kaka yale Odinga aitwae OBURU OGINGA na Babake Mzee Oginga Odinga.

Huyu Raira ktk issue ile hakuwa na nguvu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miguna Miguna is live at JKL..
---------

Kwa uwezo huu wa kuteua watu muhimu kwenye serikali ya kenya bila baraka za Rais mwenyewe; Raila kama waziri mkuu alikuwa rais basi!! Jipeni Muda kutafuta ukweli. Teuzi nyingi kipindi kile zilikuwa zinafanywa kwa kushauriana kati ya Rais na waziri mkuu.
----
The United States State Department Background Note: Kenya, updated 2 September 2011, observed that:―

The unicameral National Assembly consists of 210 members elected to a term of 5 years from single-member constituencies, plus 12 members nominated by political parties on a proportional representation basis. The president appoints the vice president; under the power-sharing agreement, the president with the agreement of the prime minister makes the initial appointment of cabinet members from among those elected to the assembly. Subsequent cabinet appointments are made by the president in consultation with the prime minister, in accord with the power-sharing agreement's proportional division of cabinet positions. The attorney general and the speaker are exofficio members of the National Assembly.‖ [4a] (Government)

Chanzo: https://www.justice.gov/sites/default/files/eoir/legacy/2013/06/12/kenya_1211.pdf
…....
 
General Mangi. Tuanze na wewe. Je katika hayo yote uliyasema jui ya Raila,ww hauingii popote ndani sifa hizo? Je,haupendi ndugu zako pale upatapo nafasi hata hapo eneo lako la kazi? Je ukipewa nafasi hata hapo ulipo kikazi haupingi dili zaidi ya mshahara tu? Je, uonapo hao vidosho huwa hauwatamani? Je,we ktk ndoa au uhusiano wa kimapenzi hauna mchepuko???...

Maadam umeyaleta haya hapa jamvini rudi tena kuyajibu haya niliyokuuliza!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…