Magufuli ainyang'anya tena Kenya fursa, kama alivyofanya katika bomba la Uganda.

Dah! Alafu yeye sasa ndio mnamuita akili kubwa? Kenya hatukuwaza kuhusu mtu yeyote yule tulipochangamkia fursa na tukafanikiwa. Tafakari hayo.
Ndio amewanyang'anya kama alivyowanyang'anya bomba la Uganda. Sasa hivi anaelekeza nguvu zake kuwanyang'anya SGR ya Uganda.
 
Ndio amewanyang'anya kama alivyowanyang'anya bomba la Uganda. Sasa hivi anaelekeza nguvu zake kuwanyang'anya SGR ya Uganda.
Punguza dose jombaa, walimu wa Kenya watatua RSA upende usipende, hiyo ni fact ambayo haitabadilika hata ukijitia hamnazo au ufunge na kuomba. Tena kazi yao wataifanya bila ya kumtazama yeyote yule kama tu serikali yao ilivofanya ilipofanikisha fursa hiyo kwao. Its the Kenyan way, but do we say.
 
Hahahahaha, ninachowashauri ni kufanya kazi na Magufuli kama mshirika wenu, lakini mkiendelea kumfanya kuwa ni competitor wenu, atawatesa sana
 

Bado Uganda SGR, Mark my Words mkuu
 

Mbona mlikuja na tambo humu na Matusi juu, Halafu kumbe hiyo MoU walisaini Mawaziri eti, yaani mlikubaliana na umbwa
Sasa Jiwe kamuweka kati Mwenye Umbwa, yaani Jiwe Akikuweka kati lazima ulainike. Bado kidogo Mtaanza kutumia Bandari ya Bandari ya Dar
 
Waalimu wa kenya watakua kwenye nafasi nzuri zaidi kwa vile na kizungu kinapanda itasaidia kuwaelimisha wa south kuliko wabongo
Sasa hiyo ndiyo vizuri, nilifundishwa kifaransa na mwalimu ambae hajui kiswahili na English anaongea broken yani akija mnakua makini na muda mwingi anatumia kifaransa, faster class watu tukawa kama tuko Paris.
 

Ninawashauri wakenya waungane na kufanya kazi na Magufuli badala ya kushindana naye.
hahahaha he went purposely for kiswahil hahaha yaani mnaogopa wakenya ivo.,,jiwe alikimbia mbio SA on hearing kenya itafunza SA.,,
 
hahahaha he went purposely for kiswahil
hahaha yaani mnaogopa wakenya ivo.,,jiwe alikimbia mbio SA on hearing kenya itafunza SA.,,
What Magufuli does is to deflate your hyper inflated ego, as soon as you are deflated completely, he will behave normal.
 
Hahahahaha, ninachowashauri ni kufanya kazi na Magufuli kama mshirika wenu, lakini mkiendelea kumfanya kuwa ni competitor wenu, atawatesa sana
competitor aje.,,,that opportunity have been there in SA lakini on hearing Kenya will get there first you went mad.,,
 
hahahaha he went purposely for kiswahil
hahaha yaani mnaogopa wakenya ivo.,,jiwe alikimbia mbio SA on hearing kenya itafunza SA.,,
Can you imagine alisoma ule Uzi ulioletwa na MK254 siku iliyofuata alirauka mapema kupeleka vitabu vya kiswahili afrika kusini.
Zezezez my kauntri iz known for the best Swahili acroz ze grobe..eee Mr prezident do you remember the fake gold theze Kenyans ni matapeli they know not to teach thiz language nononono
Bahati nzuri alienda pamoja na kikwete ili amtafsirie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…