babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
..Tz hatuna waalimu wa kutosha halafu tunajisifu kupeleka waalimu SA!?
..kuna wakati Magufuli alitaka kupeleka madaktari Kenya.
..baadhi yetu tulipinga uamuzi huo, na tunashukuru MUNGU haukufanikiwa.
..mimi uamuzi huu sikubaliani nao. Ningempongeza Raisi kama angeweza kushawishi nchi nyingine zitusaidie kukabiliana na shortage ya waalimu hapa Tz.
Walimu wakiswahili wamejaa mtaan huku hawana ajira wee unasema tunaupungufu wa walimu wa kiswahili??? Labda ka unaongelea somo lingne Ila walimu wa arts subjects wapo wengi mtaan mi namarafiki hadi wameamua wakafundishe English medium school tena primary na wana degree..Tz hatuna waalimu wa kutosha halafu tunajisifu kupeleka waalimu SA!?
..kuna wakati Magufuli alitaka kupeleka madaktari Kenya.
..baadhi yetu tulipinga uamuzi huo, na tunashukuru MUNGU haukufanikiwa.
..mimi uamuzi huu sikubaliani nao. Ningempongeza Raisi kama angeweza kushawishi nchi nyingine zitusaidie kukabiliana na shortage ya waalimu hapa Tz.
Umefikiria kweli ulichocomment?
Walimu wakiswahili wamejaa mtaan huku hawana ajira wee unasema tunaupungufu wa walimu wa kiswahili??? Labda ka unaongelea somo lingne Ila walimu wa arts subjects wapo wengi mtaan mi namarafiki hadi wameamua wakafundishe English medium school tena primary na wana degree
..kuna njia nyingi za kuwatumia hao waalimu ambao wamesomeshwa kwa kodi za masikini wa Tz.
..wanaweza kuwa-retrained wakafundisha masomo yenye uhaba wa waalimu.
..wanaweza kupelekwa kufundisha kiingereza ktk shule za msingi.
..pia siyo dhambi kwa mwalimu mwenye degree kufundisha primary school. Kwenye nchi za wenzetu watoto wa vidudu wanafundishwa na waalimu wenye shahada za vyuo vikuu.
.
Kenya wametufunza greenhouse na drip Irrigation farming? Irrigation ipi hiyo? Greenhouse farming ipi? Ya Galana? Peleka upumbavu! Tell us about Kenya teaching us microfinance, Islamic banking n soko huria!Kuna vitu vingi wametufunza ndugu zetu wa Kenya e.g
1. Microfinance
2. Islamic Banking
3. Greenhouse Farming and Drip Irrigation
4. Hydroponic Farming
5. Soko Huria
Hata vitabu vya Mwalimu Nyerere alivyoviandika kwa kiswahiki vikihaririwa na Sheikh Abdillah Nassir Kaka yake na Dr. Abdullatif Abdallah ambao ni Wakenya