Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

mkuu vipi unatokea boda ipi? nakutakia maisha mema huko ugenini unakoenda kuishi "kifala" .
 
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
Kamanda kama hautaiandaa akili yako kukubaliana na ukweli(CCM kushinda kwa kishindo) muda si mrefu utapata matatizo ya akili na angalia isije kuwa fatal zaidi, utaokota makopo
 
Unaongea na Mungu live?
Aiseeee!!
Kama hutaki sawa siwezi kulazimisha ,hakuna kitokeapo bara au Zanzibar sijui ila sema yapo Mambo siwezi ongea live hapa ,jiulize au fuatilia koment zangu why Nimemuombea IGP mh SIRO na si maghufuli au lissu ,ni wakati mh sirro kusikiliza maoni yetu na kufanya mahamuzi sahii kwa ushirikiano na wazee ,vinginevyo moto hujao hamta uzima
 
Usiame mkuu!

Hajashinda kihalali.

Najua ungepaswa kuhama kama angeshinda kihalali.

Karibu tufanye maandamano ya Amani .

We ndo jinga la mwaka. Unakaa hapa JF unadhani ndo kwenye kura. JPM kapata Kura halali. Watu wanampenda JPM. Anaongea anachomaanisha. Sio porojo za wacheza taarabu. Kwa sera gani Lissu angeshinda. Nchi gani hiii TZ. Acha kujifariji kijinga fanya kazi. Siasa Ni kwa Wale wacheza taarabu. Uchaguzi finito. Sasa kazi. Kama huhitaji lami. Hamia Somali land. Sasa 5 years ya Tanzania Mpya. Mkuu Train kufika Arusha tangu 1986 umeiskia. Usidhani vyaelea ukadhani havijaundwa. It takes a real man , to make things happen. JPM until 2025. wewe Nenda Somalia. Eti ushindi wa Lissu ahhhh. Instagram JF walipoweka Hii mada. Comment fasta 200 na ushehe wanashangaa na kumpa 5 JPM. Nyie watu Kwanini mnaota mchana.
 
Kuandika kwenyewe hujui huyo mungu utaongea nae kwa lugha ipi? Alie liita baraza lenu ni la vichaa hakukosea
 
Pole mkuu kwa kuwa uchaguzi umeisha na Magufuri kachukua ushindi tena [ as expected ]

Nakutakia safari njema huko uendako
 
Aisee!!

Ongea nae vizuri huyo Mungu basi mwambie ninahitaji mkwanja hapa Kuna Mambo yananikabili sana aniwezeshe nipate ahueni.
 
Pole kwa kuwa haukuwa uchaguzi. Sasa sijui bado utatekeleza?
 
Acha uoga wewe, unakimbia nini Sasa?
 

I hope you are ready to go
 
Uchaguzi haukuwa wa Huru na Haki! Hivyo sioni sababu ya mtoa mada kuhama Nchi au yule jamaa mwingine kuacha kazi ya Utumishi wa Umma!

Yaani Chadema ni ya kupata kiti kimoja tu cha Ubunge Nchi nzima!! Huu ni zaidi ya UHUNi.
Mliambiwa upinzani 2020 utafutika hamkuelewa. Sasa mnakula jeuri yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…