ndiyo; marehemu Masabauri alikamwata wakati wa uchaguzi wa mwaka 1995 kwa kumtishia mtu na bastola. Wakati huo alikuwa mwenyekiti wa UVCCM DARToka umezaliwa umeshawahi kuona au kusikia kiongozi wa CCM ametekwa wala kukamatwa na Polisi?
Ila bavicha mna mikwara sana, vp umeshahama nchi? Mmiliki wa kitambulisho cha mjasiriamali nyuma ya keyboard na id fake anajikuta mfanya biashara wa kimataifa[emoji3]
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.expand...
Haya fungasha virago uondoke; safari njema huko uendako. Kama uko mikoani, itakubaidi usafiri kwa kutumia barabara alizojenga Magufuli hadi Dar, halafu upande ndege kupitia uwanja wa ndege terminal 3 uliokamilishwa na Magufuli. Ila usiende Ubelgiji kwani huko kuna Korona kali sana sasa hivi, na usiende marekani kwani rais wa huko hataki watu wanaotoka A$$-hole countries za afrika.
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.expand...
Muda mwingine vijana muwe mnaacha mihemuko ya kijinga.
Siasa inawamaliza sana akili.
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.expand...
Well; life will go on as usual. You may need psychological counseling in order to cope with the new order of life.Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
Ushahama?Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Ushaacha, tutangaze hiyo nafasi?Mimi nitaacha kazi ya utumishi wa umma. Ahadi niliyoitoa miezi mingi iliyopita
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Sasa je, umesha ondoka? Maana Magufuli amekqisha kuwa Rais tena.Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Kikinuka hao psychological counsellors utawapata wapi wakati kila mtu atakuwa anapambana na hali yake?Well; life will go on as usual. You may need psychological counseling in order to cope with the new order of life.
Bahati nzuri kimenukia badala ya kunuka!Uchaguzi huu lazima kinuke
Tatizo mkuu jpm washauri wake wamjaza upepo ,Kama uchaguzi unarudiwa wa haki na akaamua kuwaomba radhi watanzania ,na kutorudia makosa yale amefanya katika uongonzi wake wa miaka mitano iliyopita,akahidi katiba mpya ,anaweza kushinda hata bila msaada wa vyombo vyovyoteNipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
πππ Subiri kuanzia Novemba 2.Bahati nzuri kimenukia badala ya kunuka!
Senior JF member,were you really in sober state while pledging this implicative note?
*Do not ever dare decision while you are exorbitantly happy or in outraged fury state.
Remember 'Astray emotions can screw up your decisions in four ways
1. Excitement can cause you to overestimate your chances of success;
2. Anxiety in one area of your life or vocation spills over to other reserved alternative comfort areas;
3. Feelings of sadness can cause to settle and subsequently rekindle sense of inferiority complex;
4. Anger and embarassment can lead to taking careless and reckless decion vulnerable to high risk of loss
Precaution: A single word of a politician influencing supporters to act on something be it constructive or destructive it takes a fraction of seconds to detonate despicable violence and rebellion.
Appeal: Think in bigger picture making sensible and wise decision tha refrains being source of the destructive.
Emotions certainly perform an important role in your decision-making process. Anxiety, for example, can keep you from making a poor choice, and boredom can ignite a spark that leads you to follow your passion.
To make balanced choices, acknowledge your emotions. Pay attention to the way you are feeling and recognize how those emotions may distort your thinking capacity in a logic manner and influence your behavior. Raise your reasoning space and decrease your emotional reactivity by listing the pros and cons of any anticipated tough decision. Seeing the facts on paper can help you think sensibly about your options and prevent emotions from getting the best of you.
Tatizo mkuu jpm washauri wake wamjaza upepo ,Kama uchaguzi unarudiwa wa haki na akaamua kuwaomba radhi watanzania ,na kutorudia makosa yale amefanya katika uongonzi wake wa miaka mitano iliyopita,akahidi katiba mpya ,anaweza kushinda hata bila msaada wa vyombo vyovyote
ILA JAPO SERIKALI MNAZIBA MASIKIO
Tupo ambao tunaongea na mungu live,ila sio wachungaji ,hatuna makanisa
FUTEN UCHAGUZI HUU NASEMA ILI KUWEKA TAIFA SAWA
Unaongea na Mungu live?Tatizo mkuu jpm washauri wake wamjaza upepo ,Kama uchaguzi unarudiwa wa haki na akaamua kuwaomba radhi watanzania ,na kutorudia makosa yale amefanya katika uongonzi wake wa miaka mitano iliyopita,akahidi katiba mpya ,anaweza kushinda hata bila msaada wa vyombo vyovyote
ILA JAPO SERIKALI MNAZIBA MASIKIO
Tupo ambao tunaongea na mungu live,ila sio wachungaji ,hatuna makanisa
FUTEN UCHAGUZI HUU NASEMA ILI KUWEKA TAIFA SAWA
Yaani Antipasu kaharibu sana tabia za wafuasi wake, kawafundisha uongo!!Unaongea na Mungu live?
Aiseeee!!