Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa


Mbona Ccm wanavumilia vurugu zinazo fanywa na masaburi hapa ubungo.tulia ikuingie
 
Kama chadema mmeanza kutayarisha vikundi vya kuharibu mikutano ya Magufuli nadhani mnamtafutia majanga mgombea wenu ambaye sidhani kama hata anaweza kuhimili mikiki ya kuzomewa na kufanyiwa fujo kwa kutokana na afya yake. Sasa mmeanza wenyewe siasa za kihuni msijekulalamika na ushahidi ni video hii inayoonekana iliandaliwa na muhamasishaju anaonekana mbali kwa nyuma akiwa na loud speaker tena ni kakikundi kalikoandaliwa nyuma kabisa ya mkutano ili kuharibu taswira ya kukubalika kwa MAGUFULI. mmeyaanza wenyewe.
 
watu wanaojiandaa kushidwa wanakuwa na mawazo kama yako
 
Halafu kuna nyumbu watakuja hapa kusema umati wote huo umehongwa na Lowassa kufanya fujo!

mmeanza wenyewe ngoja tuone kama mgombea wenu atamudu mikiki ya kufanyiwa fujo za hivi kwa hali aliyonayo.
 
Sometimes ukizisoma akili za UVCCM ni shider,

mkijibiwa mnaanza kulialia Ukawa wahuni, safari hii ni jino kwa jino mlizoea kukimbilia polisi nao wamechoka kuwabeba.

sasa kama hanyonyagi,very simple question hapa..
unless otherwise hizi habari kahadithiwa na mkewe.
 
Ni uhuni ambao unapunguza kura za ukawa toka kwa watu wastaarabu. Kama wewe umeshaamua unamtaka Lowassa huna sababu ya kwenda kupiga kelele kwenye mkutano wa Magufuli.

wastaarabu wote wameridhika na maisha na wengi wao wako ccm na ni mabilionea tayari. bahati mbaya ambao hawajastaarabika 'hao unaowaita wahuni' ndio wamepindishwa na hali ngumu ya maisha, wao ni mabukulionea, na ndio wapiga kura mwaka huu. una lingine?
 
Ccm mkome mashetani nyie.mlaaniwe milele.nakuzimu inawasubiri na Mwenyekiti wenu
 
Hicho ni kikundi cha wahuni kimepangwa kwa shughuli hiyo ujaona wanavyohangaika kuchukuwa video clips wawapelekee waliowatuma.

hehe!!! akinya kuku kanya, akinya bata kahara eh? mkuki kwa nguruwe tu.... Tukutane tar 25.
 
uhuni huo nao mnaita nguvu ya umma hayo ndo madhara ya viroba
 
Mbona unashindwa kushangaa,inakuwaje Meneja kampeni wa Magufuli Bwana Bulem
 
Kabla ya kusifia huu uhuni jiulize, je wewe unaweza kwenda kwenye mkutano wa mgombea usiyemtaka kwenda kuimba jina la mgombea mwingine? Ukiona huwezi kufanya hivyo jiulize, what is wrong with these kids?

'these kids' ndio wapumbavu, ndio malofa na vilaza wa bavicha, but the bad news is, 'these kids' ndio wapiga kura mwaka huu. ata wazee hawana vichinjio sijui mtapitia kwenye paa maana mlangoni moto, dirishani komeo, upo?
 

Safari hii tunataka rais mgonjwa. Hao wazma wametufanyia nini?
 
Safari hii tunataka rais mgonjwa. Hao wazma wametufanyia nini?
Kuchaguwa mgonjwa ni sawa na kujaribu kuvuka mto uliojaa mamba kwa kuogelea usijaribu; Vumilia Magufuli ni sampuli nyingine kwenye usimamizi uwezo tayari kesha uonyesha na dhamira hiyo kaiweka wazi mabadiliko yaja achana na matapeli.
 
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa


Mbona mwenyekiti wao alimpongeza sana Magufuli kwa kazi zake njema? Sasa kama haea si wahuni ni nini? Au ndiyo siasa za UKAWA hizi? Ndiyo hawa wanataka kuongoza taifa?.

https://youtu.be/yihHDlvuKFY
 
Last edited by a moderator:

Nyinyi masaburi alipoandaa vijana wafanyefujo mlichekelea leo kibao kimewageukia mnaanza kulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…