Elections 2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

mnajikita kuandaa watu wakuzomea huku ccm tunaandaa wapiga kura kwa vyovyote vile lazima ccm ishinde
 
Bila ya kusukumwa na ushabiki wa vyama, kwa mtazamo wangu hivyo si vitendo vya kushabikia. Sioni tafauti na yale yaliyodaiwa kufanywa na Masaburi. Hata kama Mbeya ni ngome ya chama fulani, wafuasi wake hawapaswi kuanzisha vurugu kwa wagombea wa vyama vyengine. Je ikiwa hao waliofanyiwa fujo leo, siku wakija kulipiza kisasi watakapokuwa katika ngome yao, huko si ndio kuhatarisha amani?

Ninamshauri kila mwenye hekima alikemee hili na walio na uwezo wa kulizuwia wafanye hivyo. Pia ninawashashauri wapenda demokrasia wote wasubiri tarehe 25 Oktoba kuonesha hasira na mapenzi yao katika kisanduku cha kura, tujuwe mbovu na mbivu. Tanzania ni yetu sote. Uchaguzi utapita, Tanzania itabaki, na ningependa kuona imebakia Tanzania yenye amani kabla na baada ya uchaguzi.

Nategemea na nasubiri matusi na kejeli za baadhi ya watu, kama yanayoendelea kumkuta Raisi Karume kutoka kwa wanaCCM wenzake kwa kuwaambia waache lugha za matusi.we
 
Hiyo ilikua maeneo ya Soweto siku nyingi wakati akifanya Ziara mkoani mbeya, kwa leo Magufuli alikua sehemu za Iringa, Njombe kwa maana ya Makambako na Mbarali
 
kila chaguzi zinapofika huwa watu hawa wanaandaliwa japo kwetu sisi ni faida kwetu ila kwenu ni sifa pia kuwa mgombea wetu amezowa lakin amin nawaambia magufuli ndo atashinda
 
Reactions: snn
Ingekuwa arusha tungeambiwa ukabila haya amekataliwa hadi mbeya .
 

siku hizi mikutano inafanyikia barabarani au ndiyo walewale lower thinkers....................???????????????????????
 

Labda mie ndo sijui maana ya vurugu! Ina maana walivyoshangilia Yanga juzi, ilikuwa vurugu? Ingelikuwa pana dhamira hiyo ya vurugu, basi mheshimiwa hata kujitokeza asingeshauriwa. Yeye kafungua roof ya gari kuwasalimia watanzania, alichokipata ni wananchi kumwambia kwa kushangilia kile wakipendacho. Unless kama walitumia lugha chafu, ama kumtupia mawe ama chupa, ningesema hii sasa wanastahili adhabu kali. Wote tu watanzania.
 
Hiyo ilikua maeneo ya Soweto siku nyingi wakati akifanya Ziara mkoani mbeya, kwa leo Magufuli alikua sehemu za Iringa, Njombe kwa maana ya Makambako na Mbarali

mkuu hiyo ni uyole na sio Soweto labda kama huijui mbeya.....magufuri alitoka uwanja wa ndege wa songwe mbeya na akawa anaelekea mbarari hadi huko iringa, alipofika hapo uyole ndipo hilo kundi la vijana wakamsimamisha na hawajamzomea bali walikuwa wakiimba lowasa na kuonyesha alama za mabadiliko, hadi aliposema peoples power ndipo wakamwachia na kuendelea na msafara wake
 
Kidonda huanza na kipele. Tusipojihadhari tunaweza kujikuta tunaangukia pabaya. Kumbuka kuwa Watanzania wengi bado hatuna uvumilivu wa kisiasa.
 
Kuhusu clip ya kuzomewa, ni kwamba hawa jamaa zetu wa UKAWA wana siasa za majitaka. Waliandaa kikundi maalum na mpiga picha za mnato na video kwa ajili ya kumzomea Dr. Magufuli. Hata wananchi waliokuwepo walikishangaa kikundi hicho.
 
Hamumtaki leo wakati mlijazana kwa maelfu kumshangilia wakati alipokuja kufanya kampeni.

Mkuu kumbuka waliomshangilia wakati wa kampeni ni watu wa kuja kwa malori na si wakazi wa Mbeya.
 
Kuhusu clip ya kuzomewa, ni kwamba hawa jamaa zetu wa UKAWA wana siasa za majitaka. Waliandaa kikundi maalum na mpiga picha za mnato na video kwa ajili ya kumzomea Dr. Magufuli. Hata wananchi waliokuwepo walikishangaa kikundi hicho.
 
Kuhusu clip ya kuzomewa, ni kwamba hawa jamaa zetu wa UKAWA wana siasa za majitaka. Waliandaa kikundi maalum na mpiga picha za mnato na video kwa ajili ya kumzomea Dr. Magufuli. Hata wananchi waliokuwepo walikishangaa kikundi hicho.
Nani alimwambia asimame pale?ukawa walijuaje atasimama pale na kuandaa kikundi?!??
Yaani ccm bure kabisa akili
 
siasa zao hizo zimeishapitwa na wakati...watanzania tumeishaamua kumchagua Dr Magufuli...
 
Duhh aibuu si angeshuka tu amwage show moja na mrembo
 
hiyo ni kazi ya kitoto maana watu hawa wameandaliwa kuzomea hivyo kwetu wala sio tatzo tunajua muda utafika na ndipo mtakapokuja kujua kuwa magufuli ndio rais wetu
jUKWAA LIMEINGILIWA NA LBA BUKU 7-MASAKI..
akamanda tuwe tayari kupambana nao
.
!
 

kweli kujua kwingi huondoa maarifa.We ni mtupu kabisa.

"I am politicians" by Dr.magufili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…