Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu

Kifo cha Akwilina chanzo ni shetani magufuli.

Kama siyo mchezo wake wa kununuwa wabunge wa upinzani kinondoni pasingekuwa na uchaguzi mdogo na Akwila asingepigwa risasi na Polisi.
Kifo cha Mwangosi chanzo ni shetani nani?
 
Alikuwa ni kiongozi hayawani, feshuli na mpumbavu kuwahi kutokea.
Kwamba watu wanakufa kwa korona yeye unakimbilia NYUNGU na Kanisani
Pumbavu kabisa
Wewe ndio mpumbavu, kwanini hiyo Corona mimi haijaniondoa?Toka hizo Propaganda zianze sijawahi tumia sanitizer wala kupoteza muda kuchukua hatua zzt.Kwanini sijafa?
 
Wewe ndio mpumbavu, kwanini hiyo Corona mimi haijaniondoa?Toka hizo Propaganda zianze sijawahi tumia sanitizer wala kupoteza muda kuchukua hatua zzt.Kwanini sijafa?
Hata ukimwi .kuna wengine wanaingiliana na wenye nao lakini hawapati. Be smart
 
Propagandist wa CHADEMA hawalali kwa kumsema marehemu, badala ya kutuuzia sera!
 
Hata ukimwi .kuna wengine wanaingiliana na wenye nao lakini hawapati. Be smart
Wewe ndio uwe smart. Huwez fananisha UKIMWI na Corona hahahahhah. Hakuna Corona zaidi ya Propaganda za Magharibi. Nilikua ktk mazingira hatari sana kipindi kile cha hizo Propaganda za Corona na sikuona lolote la maana kama zile Propaganda za kwenye media.
 
duuh angalia kweny aina zote za uongoz dikteta inalet uchum mapem asa kwa wasio pend kufany Kaz Kam nyie
Punda bila mjeled utasubir xan. anyway n bora utumie njia yoyt ili afike
 
duuh angalia kweny aina zote za uongoz dikteta inalet uchum mapem asa kwa wasio pend kufany Kaz Kam nyie
Punda bila mjeled utasubir xan. anyway n bora utumie njia yoyt ili afike
labda uchumi wa nyukilia kama Urusi lakini hali za wananchi ni hovyo. Warusi wanaishi maisha duni ukilinganisha na wananchi wa Maeneo mengine Ulaya.
 
Alipoingia Samia akasemaje?? Au Samia ni Rais wa TLP??🤣🤣🤣
 
Mlikuwa na Rais kama Magufuli, aliitwa Nyerere. Mengi aliyofanya Magufuli, Nyerere aliyafanya.
 
Kimoja kikubwa nilichokutana nacho humu ni
Umalaya malaya
Chadema kamwe hawawezi kushinda chaguzi zijazo kwa dhihaki kwa Hayati Raisi JPM
Na Chama chechote cha siasa Tanzania. Dhihaki ni umalaya.

Naona huruma kwa roho ya Hayati JPM , Rest In Peace comrade.
...kwa alivyotumika-bila kujua haya yanakuja-umalaya malaya-na wenye uchu wa Madaraka.

Malani au ilani za CCM na Chama chechote kitakacho jikita na Ilani yenye kuonyesha Umalaya Umalaya na kujikita katika miondoko ya Malani vitashindwa tuu
 
Huwezi kukimbilia kutaja bwana kama hujui utamu wa bwana . Utakuwa nao wengi sana wewe!!! Ulijuaje kwamba USA Kuna mabwana?? Unao hadi huko???
Tulia dawa ikuingie vizuri
 
Usimshirikishe Mungu kwenye mambo ya kifala aliyoyafanya jiwe ktk uchaguzi wa 2020. Acha agongwe na mchwa.
 
LA maana hapa uliloandika ni katiba basi!

Mengine umeandika ujinga uliokujaa kichwani mwako!

Kwamba JPM aliwahadaa hadi WB kutuweka uchumi wa kati?

Pimbi wewe!

Sio uchumi wa kati, bali uchumi wa chini wa kati, tena ni kwa muda mfupi sana. Tungekuwa uchumi wa kati tusingerudi kirahisi kwenye uchumi wa chini. Hivyo jitihada kucha upotoshaji wa kijinga.
 

Acha kupanick. Jitahidi kuvumilia ukweli.
 
Mungu alipoleta hitimisho nilifarijika sana.
Huwa tu nawaza siku umesimama mbele za Mungu akakuuliza ushahidi kwamba Yeye ndio alifanya hitimisho sijui utamjibu nini?
Nashauri uongee mambo yenu ya siasa bila kuweka statement za namna hi. Kumbuka Biblia inatuasa: "Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu" - Mat 12:36

Unaweza kupiga siasa bila kumtaja Mungu kwenye mambo ambayo huna uhakika!
Ushauri tu, unaweza uchukua au ukaupotezea!
 

Tutazielewa kazi zake za kundi la watu wasiojulikana? Alikuwa ni rais muovu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…