Kifo cha Mwangosi chanzo ni shetani nani?Kifo cha Akwilina chanzo ni shetani magufuli.
Kama siyo mchezo wake wa kununuwa wabunge wa upinzani kinondoni pasingekuwa na uchaguzi mdogo na Akwila asingepigwa risasi na Polisi.
Wewe ndio mpumbavu, kwanini hiyo Corona mimi haijaniondoa?Toka hizo Propaganda zianze sijawahi tumia sanitizer wala kupoteza muda kuchukua hatua zzt.Kwanini sijafa?Alikuwa ni kiongozi hayawani, feshuli na mpumbavu kuwahi kutokea.
Kwamba watu wanakufa kwa korona yeye unakimbilia NYUNGU na Kanisani
Pumbavu kabisa
Hata ukimwi .kuna wengine wanaingiliana na wenye nao lakini hawapati. Be smartWewe ndio mpumbavu, kwanini hiyo Corona mimi haijaniondoa?Toka hizo Propaganda zianze sijawahi tumia sanitizer wala kupoteza muda kuchukua hatua zzt.Kwanini sijafa?
Wewe ndio uwe smart. Huwez fananisha UKIMWI na Corona hahahahhah. Hakuna Corona zaidi ya Propaganda za Magharibi. Nilikua ktk mazingira hatari sana kipindi kile cha hizo Propaganda za Corona na sikuona lolote la maana kama zile Propaganda za kwenye media.Hata ukimwi .kuna wengine wanaingiliana na wenye nao lakini hawapati. Be smart
Hawa jamaa bure kabisa. Wanaacha kupambana na CCM wanapambana na marehemu.Propagandist wa CHADEMA hawalali kwa kumsema marehemu, badala ya kutuuzia sera!
ccmKifo cha Mwangosi chanzo ni shetani nani?
labda uchumi wa nyukilia kama Urusi lakini hali za wananchi ni hovyo. Warusi wanaishi maisha duni ukilinganisha na wananchi wa Maeneo mengine Ulaya.duuh angalia kweny aina zote za uongoz dikteta inalet uchum mapem asa kwa wasio pend kufany Kaz Kam nyie
Punda bila mjeled utasubir xan. anyway n bora utumie njia yoyt ili afike
Alipoingia Samia akasemaje?? Au Samia ni Rais wa TLP??🤣🤣🤣Wewe ndio uwe smart. Huwez fananisha UKIMWI na Corona hahahahhah. Hakuna Corona zaidi ya Propaganda za Magharibi. Nilikua ktk mazingira hatari sana kipindi kile cha hizo Propaganda za Corona na sikuona lolote la maana kama zile Propaganda za kwenye media.
Tulia dawa ikuingie vizuriHuwezi kukimbilia kutaja bwana kama hujui utamu wa bwana . Utakuwa nao wengi sana wewe!!! Ulijuaje kwamba USA Kuna mabwana?? Unao hadi huko???
Usimshirikishe Mungu kwenye mambo ya kifala aliyoyafanya jiwe ktk uchaguzi wa 2020. Acha agongwe na mchwa.JPM ameshaondoka......
Kama mwanadamu yeyote awaye yako aliyopatia na pia mapungufu.....
Hebu mkosoeni aliye HAI....hebu mkosoeni mwenyekiti wenu wa MILELE bwana mkubwa sana FREEMAN MBOWE....ama hana MAPUNGUFU ?!!!!!
Hayati JPM alipangwa na Mwenyezi Mungu kuwa kiongozi na RAIS WETU......na Mungu hufanya AYATAKAYO ILI UNABII UTIMIE.......
#Madaraka Makubwa Hutoka Kwa Mungu Mwenyezi
#Siempre JMT[emoji120]
Wewe ni fala mwenzake. Tena kiazi, unamsifu vipi kiazi?Yote yawezekana mkuu tukiwa na katiba mpyaa
LA maana hapa uliloandika ni katiba basi!
Mengine umeandika ujinga uliokujaa kichwani mwako!
Kwamba JPM aliwahadaa hadi WB kutuweka uchumi wa kati?
Pimbi wewe!
Nimesoma huo utumbo nilipofika kwenye civid ndio nikajua kweli chadema ni kama kuku, akili hawana na ni wepesi wa kusahau ama wanafanya maksudi.
Kwenye covidi hata waume zenu wamekubali kua huu ugonjwa hauondoki na wameshajiandaa kuishi nao kama ilivyo mafua na magonjwa mengine, jambo ambalo alilisema JPM.
Kwa kua alisema JPM na waume zenu hawakusema basi hamtaki kukubali kua JPM alikua mbele ya wakati.
Uharo Mwingine sikutaka hata kusoma.
Huwa tu nawaza siku umesimama mbele za Mungu akakuuliza ushahidi kwamba Yeye ndio alifanya hitimisho sijui utamjibu nini?Mungu alipoleta hitimisho nilifarijika sana.
Uziwako umejaa kisirani cha ujinga tu hakuna lolote la maana, niushabiki maandazi tu.
Magu ataendelea kuwa kwenye record ya kuwa raisi bora tangia tupate uhuru.
Watu wazalendo walimpenda sababu hakutaka upumbavu kwenye swala la maendeleo ya nchi.
Mtaandika nyuzi za kijinga kamaulivyo andika mwisho maji yakipungua kichwani ndio mtazielewa kazizake.
Kumbe Mungu alileta hitimisho na sasa mna injoi sana ee?