Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Nashukuru hujapinga japo ni mjinga!Sio uchumi wa kati, bali uchumi wa chini wa kati, tena ni kwa muda mfupi sana. Tungekuwa uchumi wa kati tusingerudi kirahisi kwenye uchumi wa chini. Hivyo jitihada kucha upotoshaji wa kijinga.
Mkuu maslahi ya chama na matumbo yao ni muhimu sana kwa chadema kuliko hali iliyopo sasa hivi hao ndio wanasiasa,, kama huyu alieandika hii mada anamsema mtu aliefariki tayari na hawezi kuthibitisha kwa facts mengi aliyoandika yote hiyo ni kupata faida ya kisiasa.Hawa watu wa chadema wajinga sana. Hivi haya yanayoendelea sasa ndio wanayapenda?
Bora nyakati za Magufuli Ambazo kila mtanzania alijionea mwenyewe mambo makubwa aliyoyafanya. Kwa maendeleo ya watanzania wengi.
Nyie ni vipofu hamuoni kazi yenu ni vibarakatu na mnafuraia ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kwa sasa.
Hivi kuna nchi duniani imeshughulikia Covid-19 vizuri kuzidi Tanzania?
Nashukuru hujapinga japo ni mjinga!
Hawa jamaa bure kabisa. Wanaacha kupambana na CCM wanapambana na marehemu.
Unaniamulia nimshirikishe Mungu katika yapi?!!!Usimshirikishe Mungu kwenye mambo ya kifala aliyoyafanya jiwe ktk uchaguzi wa 2020. Acha agongwe na mchwa.
Je vp wewe ni mwema????Nilikuwa nasikia tu zamani madikteta wakiitwa wendawazimu, nikawa najiuliza sana hivi inakuwaje mtu anafikia madaraka hayo na awe na wazimu.
Kua uyaone, watanzania tulijionea rais anamwambia mwananchi live eti siku nyingine awe anaacha mavi yake nyumbani kwake?!!!
JPM alikuwa ni mtu, alikuwa mbaya na dikteta. CCM ni taasisi ina sifa zote za Magu
Hahahahaahaahahhaah wewe ulitaka akimbilie bar auAlikuwa ni kiongozi hayawani, feshuli na mpumbavu kuwahi kutokea.
Kwamba watu wanakufa kwa korona yeye unakimbilia NYUNGU na Kanisani
Pumbavu kabisa
Ndiyo lazima nikuamulie, maana mambo ya Mwenyezi Mungu yameandikwa! Huwezi mshirikisha na mtenda maovu asiyejua haki.Unaniamulia nimshirikishe Mungu katika yapi?!!!
Acha kudanganya nafsi yako. Ni mambo makubwa gani aliyoyafanya huyu DIKTETA zaidi ya kutuharibia Nchi?Hawa watu wa chadema wajinga sana. Hivi haya yanayoendelea sasa ndio wanayapenda?
Bora nyakati za Magufuli Ambazo kila mtanzania alijionea mwenyewe mambo makubwa aliyoyafanya. Kwa maendeleo ya watanzania wengi.
Nyie ni vipofu hamuoni kazi yenu ni vibarakatu na mnafuraia ugumu wa maisha wanaopitia watanzania kwa sasa.
Mwandishi wa huu uzi ndiye kijana wa BAVICHA anayeshikilia tuzo ya kuporomosha matumizi mitandaoni kwa sasa.Andiko limekaa kibavicha zaidi!
Kulia kwa Mahiga ni nani na alikufa lini ?
Hata hujui takwimu za WB zinatoka wapi, tatizo la watanzania kazi kuropokaropokaLA maana hapa uliloandika ni katiba basi!
Mengine umeandika ujinga uliokujaa kichwani mwako!
Kwamba JPM aliwahadaa hadi WB kutuweka uchumi wa kati?
Pimbi wewe!
MARTUSIMwandishi wa huu uzi ndiye kijana wa BAVICHA anayeshikilia tuzo ya kuporomosha matumizi mitandaoni kwa sasa.
Pangua hoja Kwa hoja, usimseme mleta hoja. Acha porojoMwandishi wa huu uzi ndiye kijana wa BAVICHA anayeshikilia tuzo ya kuporomosha matumizi mitandaoni kwa sasa.