Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Hakuna Rais aliyekuwa muongo na tapeli kama Nyerere. Shida humu tumevamiwa na watoto+vilaza mnaochagua kusikiliza yale mnayoyapenda.
Orodhesha uongo/utapeli wake kama walivyofanya kwa Mwendazake
 
Wewe mdudu unayeitwa Kitimoto 🐷 unakaribia kuchinjwa iki uliwe mboga, au!! Mbona unatugawia tu dislike kila mtu!!!

Kitimoto una wawekea dislike mpaka sisi Wakatoliki! 😋 Hii siyo haki kabisa.
Si bora hata ungewawekea Masheikh!!! Maana hao hawana kabisa shida na wewe!!
 
Mkichagua upinzani sireti maenderoo

Baada dk 10: Maendereo hayana chamaaaa

1624907258997.png


baada ya kuingia chadema sasa , lowasa hoyeeeeee!
 
Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.

View attachment 1831163
Kuhusu mishahahar kchelewa ama una kumbukumbu hafisu, au ulikuwa hujaanza kufanya kazi, au hutaki ukweli usiokufurahisha. Kuna rekodi nyingi sana za miashahara kuchelewa na ni jambo tulilowahi kulijadili hapa mara kadhaa kati ya mwaka 2012 hadi 2015 hapa JF. Mojawapo ya thread zilizozungumzia hilo ni hii:

 
Back
Top Bottom