Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkichagua upinzani sireti maenderoombowe njoo ona wanachama wako uku
Yeye (Magufuli) aliendesha nchi vibaya, lazima pia naye asemwe vibaya.Mods fungeni huu uzi haufai maana unamsema Hayati Magufuli vibaya.
Sema "lilikuwa liongo!' sana.Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?
Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
Aliwahi kusema siku moja ina masaa 48, achana na ishu za GaddafHuyu mtu alikuwa na pepo la chuki, uongo na husuda. Muongo muongo sana
Orodhesha uongo/utapeli wake kama walivyofanya kwa MwendazakeHakuna Rais aliyekuwa muongo na tapeli kama Nyerere. Shida humu tumevamiwa na watoto+vilaza mnaochagua kusikiliza yale mnayoyapenda.
Nyumbu leo ndiyo wamejua mama aliposema yeye ni kitu kimoja alimanisha.Yeye (Magufuli) aliendesha nchi vibaya, lazima pia naye asemwe vibaya.
Mkichagua upinzani sireti maenderoo
Baada dk 10: Maendereo hayana chamaaaa
Acha kumlinganisha mama na upumbavu wewe.Nyumbu leo ndiyo wamejua mama aliposema yeye ni kitu kimoja alimanisha.
Samia = Magufuli
Mgonjwa mwingine huyomuongo mwingine huyu hapa
Acha kumlinganisha mama na upumbavu wewe.
Kitimoto kapagawa pepo la hasira, 🤣🤣Jamaa atakuwa na stress sana.
Kuhusu mishahahar kchelewa ama una kumbukumbu hafisu, au ulikuwa hujaanza kufanya kazi, au hutaki ukweli usiokufurahisha. Kuna rekodi nyingi sana za miashahara kuchelewa na ni jambo tulilowahi kulijadili hapa mara kadhaa kati ya mwaka 2012 hadi 2015 hapa JF. Mojawapo ya thread zilizozungumzia hilo ni hii:Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?
Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163