Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tangu uone movie ya Narcos ndio umejuwa Cartels?Naona likitajwa jinabla Magufuli unaharisha mkuu. Ni cheti feki au mfanyakaz hewa? Tuambiane, maana mjadala unahusu tff na makato yao pia Magufuli kukata Cartels wewe unaleta habar ya Rage kama Rage. Au hata haukujui maana ya cartels kwa vile cheti hakiruhusu.
Wewe voicer hebu kuja uelekeze huyu jamaa maana ya cartel kama ilivyotumika asiendelee kukurupuka
Ni kweli kamanda umesaidia kukazia hukumu ya maudhui ya bwana YericoAhsante mkuu,ila andiko hilo ni mali ya Yericko Nyerere !
Mimi nimelitumia kama uthibitisho kwamba hayati Magufuli (R.I.P),alikuwa sahihi kabisa pale alipojaribu kupambana na hili genge.
Aliwatia ndani wote na akaonekana mbaya kwa baadhi ya wana jamii.
Miaka miwili baadae,tunaanza kuona ni kwa nini Magufuli alifanya vile!
Acha uzembe wewe jamaa. Ikiwa kweli wewe ni Phd ya ukweli rudi tena ukasome huo uzi. Kisha husianisha na matukio yaliyokuwepo yakashughulikiwa kuanzia akima Wambura, Aveva, Malinzi na wengine upande wa ngumi na riadha.Tangu uone movie ya Narcos ndio umejuwa Cartels?
Wizi wa TFF huwezi kuita Cartels wewe na huyo mleta mada hamjui cartels ni nini.
Inawezekana kumaliza wizi mkubwa mkubwa wizi mdogo mdogo Dunia nzima hua upo tu.Tanzania na wizi ni sawa na mti kwenye aridhi! Ukivitenganisha, kuna kitakachoacha uhai wake
Ila kwa ujumla hayo ndio mambo ambayo mafisadi wa sasa wanayatumia kusema ulikuwa udikteta wa Magufuli!Sidhani kama kuna watu walilalamika kwa wizi wa hao TFF kushughulikiwa.Jamaa ni wezi wezi wezi mnooooo!Hawa wezi washughulikiwe!
Umemaliza nini!? Unajuwa maana ya cartels?Acha uzembe wewe jamaa. Ikiwa kweli wewe ni Phd ya ukweli rudi tena ukasome huo uzi. Kisha husianisha na matukio yaliyokuwepo yakashughulikiwa kuanzia akima Wambura, Aveva, Malinzi na wengine upande wa ngumi na riadha.
Vinginevyo nimemaliza.