Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
Hivi wewe unadhani unamtetea au unaamsha hasira za watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kaandamaneWatu kama wewe ndio huwa mnajidanganya kwamba UTULIVU ni AMANI...teh[emoji23]
CCM inawapenda sana mijitu mijinga mijinga kama wewe.Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha SALARY PORTAL kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?.
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
CCM inawapenda sana mijitu mijinga mijinga kama wewe.Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha SALARY PORTAL kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?.
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Uwajibikaji kwa watumishi umma umepanda sana kwa miaka 5 hii mtoa hoja kakosea bila shala.Vitu hivi viwili ni vyema vikaenda sambamba. Wapo watumishi makini ila pia wapo wazembe na wapiga dili.
Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha SALARY PORTAL kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?.
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Kwa upande wa maIT sikupingi kabisa..yani ni wazembe na wavivu hatari..halafu cha kushangaza wengi walikua walimu wamejiupdate vikozi vya IT leo ndo wanao endesha masuala yote ya IT..hawa jamaa ni total disaster kama ulivyosema mleta uzi.Hasa watu walioajiriwa upande wa IT serikalini, shida sana
Kama hauna uwezo wa kujenga hoja, then hiki kiatu hakikutoshi...[emoji41][emoji41]Haya kaandamane
Nchi nzima kuna idara ngapi?.Hapo tayari kataja idara 2 tofauti, Tena yawezekana zinatoka wizara tofauti.
Ni ukweli, kwenye ofisi za umma Kuna uzembe hasa.
Hayo no matokeo ya kukosa hamasa,kutowapatia stahiki sii dawa ya kuongeza ufanisi.Bali yaweza kuwa ni dawa ya kupunguza ufanisi.Hamasa ni Jambo dogo sana, hats ahdi na lugha mzuri ingetosha kuwapa Ari ya kufanya kazi kwa weledi zaidi. Kamwe vitisho na manyanyaso Yana haribu badala ya kujenga.Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Huo uchumi wa kati umeletwa na yeye mwenyewe kufanya kazi office zote nchini peke yake?Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Hiyo mifuko pssf na nssf huyohuyo mh. Rais ndiyo aliyoifilisi.Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Ni kweli mimi naomba sana asipandishe kabisaa mishahara kwa sababu kiuchumi huitaji mshahara mkubwa bali unachohitaji ni pesa yenye thamani nchi za watu walishasahau kupandisha mishahara wanachofanya ni kuboresha huduma za jamii na kuongeza thamani ya pesa maana ukiongeza mshahara hasara ni kubwa kuliko faida maana pesa inashuka thamani na bidhaa zinapanda bei kwa hyo magu asipandishe.mishahara ila utafute mgawanyo sawa kulingana na viwango vya elimu na ukubwa wa kazi pia huduma za jamii ziboreshwe kama zinavoboreshwa sasa umeme maji barabara zisiwe tatizo ifike wkt laki 5 unanunua gari hapo pesa inathamani zimbabwe walipandisha mishahara hadi pesa ikapotea thamani yake.... Magu ndio kiongozi sahihi maana anachafanya anacho amini kina manufaa sio kusikiliza kelele za watu ili wakushangilie asikudanganye mtu tunataka pesa yenye thamani ili tununue vitu vingi zaid...Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.
Hao ni wazembe pia wana uhakika wamepata kazi za kudumu ndio maana wamebweteka.Kuna mambo ukiyaangali unajisemea kimoyo moyo " acha tu Magufuli aendelee"
Kuna shithole zimekaa kwenye ofisi za umma hasa NIDA, police na uhamiaji vitambi vimejaa kinyesi, tija Ni zero halafu wanalalamika wasipopandishiwa mishahara
Kwahiyo mnataka muongezwe pesa wakati utendaji ni sifuri?Mkuu, hapa naona unachanganya HAKI ya mtumishi na UWAJIBUKAJI wa mtumishi
Madhara yake ndiyo hayo. Wafanyakazi wote hawatamchagua.!!!Habari wakuu!
Mwaka jana katika harakati za kufuatilia mirathi ya mke wangu ambaye alifiwa na baba yake ikanilazimu nizitafute ofisi za PSSSF mkoa wa Temeke au Ilala maana mimi ni mkazi wa Dar es salaam.
Nikaingia website ya PSSSF nipate location za ofisi zao. Nikachukua details muhimu na namba za simu, nafika mahali ambapo wameandika kuwa ndipo ofisi za mkoa wa Temeke naambiwa kuwa walihama kitambo.
Napiga simu niwaulize walipo anapokea mwananchi anasema namba haimilikiwi na ofisi bali yeye. Nilipomuhoji anasema kuwa wengi tu humpigia kwa bahati mbaya wakikusudia kuwapigia PSSSF.
Leo tena naingia tovuti ya wizara ya fedha Salary Portal kuna mzee hapa kazini kasahau password na e-mail aliyofungulia haitumii sasa. Ikalazimika nichukue namba ya msaada, napiga anapokea mwananchi ambaye anasema haifahamu salary portal ja hajawahi kuwa mtumishi wa wizara ya fedha.
Sasa kama tu kufanya changes muhimu kwenye website muhimu hawataki au wanapuuzia kuna haja kweli ya kuwaongezea mshahara hawa watumishi?
Mimi ni mtumishi wa umma pia na ni muhanga wa kutopandishwa daraja na mshahara ila kwa hakika huku makazini kuna uzembe sana hasa mtu akishapata kibarua cha permanent.