Magufuli alisema Fedha zote za Wafadhili hata za NGO zipitie Hazina Ili iwe zikaguliwe mkapinga, sasa Trump anazikagua!

Magufuli alisema Fedha zote za Wafadhili hata za NGO zipitie Hazina Ili iwe zikaguliwe mkapinga, sasa Trump anazikagua!

Ukimlinganisha Tirampu na Kamala, nani ni kichaa na nani akili timamu?。 Kuna ubishi kuwa
Tirampu ni kichaa?。 Wamarekani wakamtosa mtu safi, timamu na kumchagua kichaa!,hawa ni wazima?。

Vichaa kama Tirampu, na Tanzania tunao,pia wapiga kura majinga kama Wamarekani pia tunao!,hivyo sijakosea kabisa, tena ningepaswa kupongezwa na wenyeakili kwa kutoa angalizo hili mapema,Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii? ili muda huu kuelekea October,je wajua uchaguzi wetu wa October, tayari kuna timamu mmoja ameisha teuliwa na chama chake?, pia kuna kichaa fulani wa chama fulani yule ropo ropo pia atasimama?。

Naamini unajua fika kuwa hata wapiga kura wetu, majinga wapo!,nimeshauri hawa majinga wetu waelimishwe waerevuke ili na sisi October wasije kutuletea ujinga kama ule ujinga wa Wamarekani, wakatuchagulia yule kichaa wetu!!。
P
We mzee ni kichaa?? @pascalmayalla kumbe ni kichaa ndio maana ulipata kura Moja jimbo la kawe.... Wajumbe walijua tu kichaa kama wewe hufai.
Nje ya mada, HIVI LILE PIKIPIKI LILILOKUBONDA KICHWA UKAVURUGUKIWA UBONGO HADI KUWA KICHAA HUJAWEKA KWENYE MAKUMBUSHO??? Ila Babu Pasco una bahati.... Unathubutu kupanda tena PIKIPIKI ukiwa umelewa?
 
Yeye anazikagua kama donor yani mtoaji nyinyi mlitaka kuzikagua ili mzipangie matumizi mengine.
By the way nimesikia sehemu ndogo ya ripoti ya mwanzo ya fedha za USAID, lile lilikuwa chaka la upigaji. Yani eti walipeleka dola milioni 50 Gaza kwa ajili ya condom. Sijui dola milion 200 Iraq kwa ajli ya mambo gani ya culture.
Sema wanasema USAID ni pesa ndogo kwa bajeti ya marekani, dola biliion 40 ni kama 0.6 ya bajeti yao.
Wanasema pesa nyingi inapigwa kwenye Medicare ambapo ni kama dola tilioni 2. Watu wanasema Musk aende huko.
Kumbe ufisadi Hadi mbele upo kweli Trump kajua kuwavua nguo wazungu
 
Back
Top Bottom